Life starts at 45
JF-Expert Member
- Sep 22, 2015
- 1,000
- 998
Hicho kisimbusi ndio hichi au sio chenyewe
Kama hicho ndio lakini Cha kwake kina internet, japo hajaspecify kinatumia os gani.Hicho kisimbusi ndio hichi au sio chenyeweView attachment 1192424
Hicho kisimbusi ndio hichi au sio chenyeweView attachment 1192424
Kama hicho ndio lakini Cha kwake kina internet, japo hajaspecify kinatumia os gani.
Dvb T ipo sehemu nyingi Sana mkuu, inawezekana hata TV yako Sasa Hivi inayo, ama deki, ama receiver ya dish, ving'amuzi Kama startimes na continental vya antenna, na vifaa vyengine vingi.Chief hivi ving’amuzi hapa bongo vinapatikana wapi na bei yake unaweza kufahamu?
Ndio mkuu tafuta antenna tu. Hata tube za taa zilizoungua au hata waya za alluminium ama kibakuli kinafaa.TV yangu ina king’amuzi ni smart samsung 42’ model yake nimeshahau, ninachotakiwa kufanya ni kutafuta antenna?thanks in advance mkuu
Na hicho nilivyo fungua maelezo kina tumia wi-fiKama hicho ndio lakini Cha kwake kina internet, japo hajaspecify kinatumia os gani.
Kwa maelezo mkuu hawaja specify wifi ya Nini Wala ya kazi gani, tunayoizungumzia Hapa Ni ya kukuwezesha kuangalia iptv ama YouTube. I doubt Kama kifaa Cha dola 7 kinaweza kuwa na uwezo huu mkuu.Na hicho nilivyo fungua maelezo kina tumia wi-fi