Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 2,688
- 4,722
- Thread starter
-
- #21
Kwako n raisi watu odds 1.06 wanapoteza kaka ivyo ujuaji mwingine sio mzuriHizi odds za 1.5 sijui 1.8 ni rahisi sana yeyote anaweza kutabiri,mfano unaona kabisa kuna mechi haiwezi kufika magoli 6 unaweka tu under 4.5 unapata zako odds 1.3 unatembea..odds za maana za kusema kwwli umetabiri zinaanzia 2 na kuendelea,mimi sibeti lakini naweza nkaweka mechi tano hapa za mkeka mzima odds hazizidi 2 na ikatiki
Kuna komenti yako kuhusu watu waliozaliwa tarehe 26..Kwamba hawatakiwi kubetiKwako n raisi watu odds 1.06 wanapoteza kaka ivyo ujuaji mwingine sio mzuri
Mkuu leta odds , mimi nakufuatilia kwa karibu sanaEndeleen kuzarau pesa ndogo kama kubwa mnazo,unaweka 500 timu 30 ushinde milion 30 uwanjan unacheza wewe wakuu😂😂😂, betting ni mathematics tu basi 😂 😂 🔥 🔥 💯 ✅ ✅
Pamoja sana mkuuMkuu leta odds , mimi nakufuatilia kwa karibu sana
Unaweza kuta hizo odd zake 1.5 ni za timu 20 zenye point 1.03 kila mojaNaunga mkono hoja
Subutu mm niweke matimu 20 nacheza mm uwanjanUnaweza kuta hizo odd zake 1.5 ni za timu 20 zenye point 1.03 kila moja
😂Subutu mm niweke matimu 20 nacheza mm uwanjan
Nani anaburuza odds 100 alafu we jamaa ni faza kabisa ujueWewe hizo odd 1.18 ndiyo za kujisifu?
Watu humu wanaburuza odds 100-1000 na wamejikausha tu.
Watu hizo odds zako 1.5 hadi 2 ni oddz za kwenye mkeka 1 wenye mechi hata 30 za odds 2 na watu wsna buruza.
Kama wewe mtabiri leta zile dry ngumu kumeza
Hawana akili au akili mgandoEndeleen kuzarau pesa ndogo kama kubwa mnazo,unaweka 500 timu 30 ushinde milion 30 uwanjan unacheza wewe wakuu😂😂😂, betting ni mathematics tu basi 😂 😂 🔥 🔥 💯 ✅ ✅
Kwamba akili zao na mavi utofauti yake ni joto tu 😂 😂 😂 mkuu sionasemaga wana mavi kichwani
Aahaahha na kale ka mvuke au air moistureKwamba akili zao na mavi utofauti yake ni joto tu 😂 😂 😂 mkuu sio
Nikiwepo mimi hapaNani anaburuza odds 100 alafu we jamaa ni faza kabisa ujue
Oyaaa uzi wa wakamaria ujue kwann nilisitisha kutoa code??Hawana akili au akili mgando
Ndo kuna mmja anasema et kuna watu wanaweka odd 100 mpaka 1000
Ukienda kwenye nyuzi zao ukasema kama kuna mtu kashinda kwa codea za humu alete screenshot hakuna.
Utaskia wanajamba jamba ety ooh team moja tu.. mara huyu kachana kipindi cha pili.
Wakati mda huo wenzao wanatafuta odds 1.8 au 3.5 ila ni za uhakika ukuti zinachana kijinga.
Mkuu shusha mzigo humu ndani kuna watu nasemaga wana mavi kichwani
Sasa hizo odds tunaweka kweye mkeka m1 na hizo mwchi za juzi na majana yake ila onaHawana akili au akili mgando
Ndo kuna mmja anasema et kuna watu wanaweka odd 100 mpaka 1000
Ukienda kwenye nyuzi zao ukasema kama kuna mtu kashinda kwa codea za humu alete screenshot hakuna.
Utaskia wanajamba jamba ety ooh team moja tu.. mara huyu kachana kipindi cha pili.
Wakati mda huo wenzao wanatafuta odds 1.8 au 3.5 ila ni za uhakika ukuti zinachana kijinga.
Mkuu shusha mzigo humu ndani kuna watu nasemaga wana mavi kichwani
Una balaa sana🔥🔥🔥Hizo zidisha hizo odds unapata 10+ na hiyo ni dairly