Free talk: Mwanamke shtuka!

Poleni sana mkuu.

Dogo afanye mpango wa demu mwingine tuu maisha yaendelee ..hawa watu ndio shukrani zao hizi.



Cc Heaven Sent & espy
 
Safi kabisa never ever do it
 
Ahsanteee
Naomba nikazie
 
Huu tunauita ukweli mchungu..barikiwa sana dada
 
Hizo seminar mbona ni nyingi sana..na hata redioni kuna vipindi vya uhamasishaji na uelimisha...elimu zinatolewa sana tu..ila nisisi tu wenyewe kutokuzifanyia kazi
 
Najua kwa sio wote..

Ila Mungu ni mwema , watu waliyopigwa changa la macho wanajitokeza hapa hapa kabla uzi haujafika mbali..


Tatizo No one can predict one's future..! So hatujui kama mtu atachange..!

To be safe bora mtu usijitose.
Teh ngoja na upande wetu, watakuja wengi tu waliochumia juani na watu, ila ulipofika muda wa kula kivulini wakatoswa
 

Teh teh teh teh, hivi mwanaume mwenye hela zako unaanzaje kusumbuliwa na binti moja kweli ???
Unless huyo dogo wako hana pesa nyingi kivile, halafu pesa hata ufiche huwa inaonekana mazee yani huwezi ficha kabisa. Tukikuangalia tu tunafahamu kwamba hapa huyu jamaa kapigwa na upepo wa pesa. Sasa dogo lako lina hela halafu linasumbuliwa na kibinti cha hovyohovyo kweli ??? Bwahahaha, huyo dogo mumchangamshe kabisaa.
 
Poleni sana mkuu.

Dogo afanye mpango wa demu mwingine tuu maisha yaendelee ..hawa watu ndio shukrani zao hizi.



Cc Heaven Sent & espy
Mimi kuna moja hivi Braza alitafutia kazi na Scholarship ya PhD lakini alichokuja kufanywa, teh teh teh teh!
Nidyo maana mimi kama namsaidia mwanamke huwa namsaidia bure tu kwasababu nimeamua, lakini nje ya hapo huwa sitegemei sanaaaa kutoka kwao. Its a racket, kufanya betting ya maisha na mwanamke...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…