Huh!!! Nshomile jamani ndi uanaume huo. Komaa tu, na ubinafsi ni dhambi.Nimefurahi ulivotambua majukumu mazito mnayotutwisha, hapo hapo bado eti tuwafikishe na mlimani looh, no wonder baadhi yetu tunakuwa wabinafsi kunako bhana, si kwa majukumu haya!!
hivi vitoto vya siku hizi ni vitomaso sanaMO11 unamfahamu vizuri lakini wewe!!! Ngoja akukute.
Yes kabisa, ndio maana hapo awali nilisema tatizo linaanzia katika namna tunavyolelewa na jamii inavyotaka mwanamke awe. Tukija kwenye uhalisia tunakuwa tushapoteza.mie naona kosa ni la wazazi lol....
wengi wanadhani sababu mwanae yuko kwenye 20's then he is matured enough....
wazazi wanatakiwa waendelee kuwa guardians hadi hapo mwanae anapokuwa kwenye transformation ya kutoka utoto kwenda adulthood,
'' mwanangu umepata mchumba fanya A,B,C ili u excell wewe na familia yako,mimi na baba yako tulifanya D,E,F
kuna mitoto mingine Nunda,haiskii,lol..ila wazazi kama hamtawaacha watoto kwenye vulnerable position, kijana ajifunze mwenyewe,the world can be cruel.....atajifunza vyote hata visivyotakikana
Wewe ujue tuu, ukimuacha Transcend utatuumiza wengi.Hata fundi hatopenda.Sasa jamani si unajua akili ya leo haiwezi kuwa ya kesho. Nikimuacha ni bahati mbaya tu.
Chumvi tena?!ooppssI will be there umewekewa chumvi
Mmmh!Wewe ujue tuu, ukimuacha Transcend utatuumiza wengi.Hata fundi hatopenda.
Nina rafiki yangu wa siku nyingi aliwahi kuwa na mchumba na bahati mbaya hawakuwa mkoa mmoja;Rafiki yangu alikua kimasomo nje ya nchi na mchumba wake akiwa DSM.Kutokana na uhitaji wa binti na familia yao, jamaa akawa anamtumia hela nyingi kweli kwa ajili ya chuo na matumizi.Ninakumbuka nilimshauri rafiki yangu kuwa hata kama anamsaidia asitume kiasi kikubwa vile ...aliendelea kutuma na kilichotokea ni kwamba yule binti alikua anatoka na mtu mwingine huku hela anatumiwa.
Jamaa alikuja kunikumbusha ushauri wangu when it was too late.
WEKA VIZURI RECORDS ZAKO...NDO USEME HAYO UNAYOSEMA...MO11 unamfahamu vizuri lakini wewe!!! Ngoja akukute.
ShunieAuntie umeongea kitu cha mana sana watu wengi wanajisahau na ujana wa mda mfupi asante sana kwa kutukumbusha mada nzuri sana barikiwa sana
KhaaahNimefurahi ulivotambua majukumu mazito mnayotutwisha, hapo hapo bado eti tuwafikishe na mlimani looh, no wonder baadhi yetu tunakuwa wabinafsi kunako bhana, si kwa majukumu haya!!




Ngoja nikwambie kitu dia nilivyo nina penda mihamala basi mejikuta nime mute notification zote, msg ni silent kwasababu gani sitaki usumbufu wa kufikiria kila saa msg inapoingia kwamba huwenda ni muhamala umetiki sasa naanzaje kukutumia wewe kisa unipe ushauri si bora nisome majarida mfyuuuuuNitumie pesa kwanza.
