Free talk: Mwanamke shtuka!

Free talk: Mwanamke shtuka!

Hahaha, bata langu la ujana silijutii kabisa.
Sikutaka kukimbilia majukumu mpaka pale nilipokaa sawia.
Sasa vijana siku hizi akipata tu 1 or 2 M, baada ya chuo basi anavuta na kademu kake gheto kabisa.
Mimi kuna dogo langu juzi nimelifanyia mnasaha wa nguvu, eti anahudumia vibinti kama yeye ndiyo baba.


Kwahiyo kijana aliemaliza chuo akipata sh ngapi ndo avute demu/mke gheto. Malcom Lumumba
 
Kwahiyo kijana aliemaliza chuo akipata sh ngapi ndo avute demu/mke gheto. Malcom Lumumba
Kuoa siyo swala la kuwa na pesa au kokosa pesa,
Kukomaa akili, kutambua majukumu, kuweza kujimudu, kuwa na utayari kuwajibika, kuwa tayari kubadilisha tabia zako.
Vijana wengi mkishapata M1 au M2 basi mndhani mnaweza kuingia kwenye ndoa vuuup....Teh teh teh, sisi tunawaangalia halafu tunasema Hiiiiiiiiiiiiiiiii, ya Kihutu kabisa.
 
Have ma" like babe-girlunajua nini umesema maneno maziiito mno mwenye kusikia na asikie,.japo KUPANGA NI KUCHAGUA hatuingiliani lifestyles lakini penye ukweli lazima tukumbushane...

Wadada tupunguze luxuries tofauti na vipato vyetu,.tuwe na kiasi na kuridhika..tukipata wenzetu hebu tupeane support sio kisa ni mbebe wako basi ndio akome kila dhiki unambebesha kaka wa watu looh tena ujue kwao wana japo mbuzi wa maziwa basi hali akashiba.,.ndio maana wengine miti mikavu hawanenepagi kwa kufyonzwa....tujue kufanya kazi zetu na kusave pia kwa ajili ya baadae,.kumtegemea mtu sana kwanza dhambi...

Yeremia 17:5-8 ukisoma utaona mtu anaye mtegemea mwanadamu anakuwaje...

Mungu akatubariki sawasawa na utajiri wake,kusukwa-sukwa hata kumwagika...!!!!
Smart brain beautiful girl
 
Kwahiyo kijana aliemaliza chuo akipata sh ngapi ndo avute demu/mke gheto. Malcom Lumumba
Habari wana MMU.

Kuna hili jambo ningependa tujadiliane ama tushirikishane kidogo.

Hakuna asiejua kuwa kila mwanamke kabla hatujavurugwa na dunia huwa matamanio yetu ni siku moja kuolewa na kutengeneza familia na mwanaume fulani hivi amazing(fantancy vs reality).

Sasa tatizo linakuja kuwa huwa wanawake wengi wana mentality kuwa maandalizi ya familia ya baadae haswa kwa mambo yanayohusu assets na gharama zingine ni majukumu ya mwanaume na sio mwanamke.
Hivyo unaweza kukuta binti ana kazi nzuri tu ila hata kujiwekeza kununua hata kiwanja walaaa hawazi au hata kufungua biashara. Anawekeza kwenye mikoba,mawigi,simu za bei ghali,viatu nk. Vitu ambavyo ukivipigia mahesabu unakuta ana viwanja vitano vikubwa tu huku kijijini kwetu.

Hebu fikiria unaolewa ukiwa angalau umejiwekeza kiasi fulani hivyo mkiunganisha nguvu na mwenza wako angalau mnapiga hatua kadhaa kwa haraka kuliko kusubiria mwanaume afanye kila kitu.

Wakati mwingine unakuta binti anadate mwanaume mwenye expossure ya kutosha na mfanyabiashara mzuri, hata kuomba basi hata aelekezwe abc's za biashara, hata kuunganishwa kibiashara nehiiii.

Au unadate mwanaume mwenye uwezo mkubwa kifedha hivyo kazi yake ni kuomba kununuliwa simu ya milioni 2 nk, vitu vya anasa ambavyo kwa kiasi kikubwa havikuongezei lolote la maana zaidi ya sifa za kijinga. Ni kwanini usimuombe mtu wa aina hiyo hata business idea, au angalau uanze jambo lako ie biashara,ujenzi nk kisha umuombe akuongezee kiasi fulani cha pesa? Kwa mwanaume mwenye upeo atakuona una akili na anaweza kukusogeza mahali pazuri.

Mwingine unakuta ni mama kabisa ila hata haiwazii kesho ya mtoto wake ambae anamlea peke yake, yuko busy na starehe na kutumbua pesa za child support, kesho na keshokutwa baba hayupo mtu anaanza kuhaha wakati nafasi ilikuwepo akaichezea

Maisha yamebadilika sana jamani basi nasi wanawake tubadilike in a positive way, tuyaishi maisha halisi na sio ya kuigiza ili angalau tunapoingia kwenye maisha ya ndoa angalau tuwe na cha kuongeza sio ndio ukiolewa umtwishe mwanaume majukumu ya familia mnayoijenga,familia ya kwao na ya kwenu pia. No wonder wanakufa mapema hawa watu.

Tuzitumie fursa vizuri pale zinapopatikana kabla haijawa too late.

Jamani hapa simchagulii mtu maisha ila hakikisha hautokuwa na majuto baadae kuwa "laiti ningejua"!!! Maana hakuna anaependa kesho yake iwe ya kuunga unga.

Nawasilisha.
Çqs m
 
Sijui...... Binafsi sijawahi kuishi kwa kutegemea mwanaume, nimewekeza kadri ya uwezo wangu. Lkn naona kama kutokuwasumbua kwangu wanatake for granted...... Sijawahi kuachwa, Mara mbili nachoka, naondoka mwenyewe, hata hapa nilipo, najisikia kutoka! Sinyanyaswi, but naona kama anakaa na Mimi kwa kuwa simsumbui kumuomba hela...... Nimemkatalia hata kwenda nyumbani, nahisi akinioa ataniachia majukumu yote ya nyumbani ........ Kama imewahi kutokea nikapata any favour as a lady, ni Mara chache sana, hali hii imenifanya nikawa mbinafsi pia. Simuulizi mambo yake, akijisikia atasema. Mimi pia vya kwangu siongei naye, labda aone mwenyewe...... Kuna mahusiano hapo? Kwa ufupi ameniharibu kabisa akili yangu!
 
Sijui...... Binafsi sijawahi kuishi kwa kutegemea mwanaume, nimewekeza kadri ya uwezo wangu. Lkn naona kama kutokuwasumbua kwangu wanatake for granted...... Sijawahi kuachwa, Mara mbili nachoka, naondoka mwenyewe, hata hapa nilipo, najisikia kutoka! Sinyanyaswi, but naona kama anakaa na Mimi kwa kuwa simsumbui kumuomba hela...... Nimemkatalia hata kwenda nyumbani, nahisi akinioa ataniachia majukumu yote ya nyumbani ........ Kama imewahi kutokea nikapata any favour as a lady, ni Mara chache sana, hali hii imenifanya nikawa mbinafsi pia. Simuulizi mambo yake, akijisikia atasema. Mimi pia vya kwangu siongei naye, labda aone mwenyewe...... Kuna mahusiano hapo? Kwa ufupi ameniharibu kabisa akili yangu!
Why do you need a favor lady?!
 
Sijui...... Binafsi sijawahi kuishi kwa kutegemea mwanaume, nimewekeza kadri ya uwezo wangu. Lkn naona kama kutokuwasumbua kwangu wanatake for granted...... Sijawahi kuachwa, Mara mbili nachoka, naondoka mwenyewe, hata hapa nilipo, najisikia kutoka! Sinyanyaswi, but naona kama anakaa na Mimi kwa kuwa simsumbui kumuomba hela...... Nimemkatalia hata kwenda nyumbani, nahisi akinioa ataniachia majukumu yote ya nyumbani ........ Kama imewahi kutokea nikapata any favour as a lady, ni Mara chache sana, hali hii imenifanya nikawa mbinafsi pia. Simuulizi mambo yake, akijisikia atasema. Mimi pia vya kwangu siongei naye, labda aone mwenyewe...... Kuna mahusiano hapo? Kwa ufupi ameniharibu kabisa akili yangu!
Duuh aiseee
 
Sijui...... Binafsi sijawahi kuishi kwa kutegemea mwanaume, nimewekeza kadri ya uwezo wangu. Lkn naona kama kutokuwasumbua kwangu wanatake for granted...... Sijawahi kuachwa, Mara mbili nachoka, naondoka mwenyewe, hata hapa nilipo, najisikia kutoka! Sinyanyaswi, but naona kama anakaa na Mimi kwa kuwa simsumbui kumuomba hela...... Nimemkatalia hata kwenda nyumbani, nahisi akinioa ataniachia majukumu yote ya nyumbani ........ Kama imewahi kutokea nikapata any favour as a lady, ni Mara chache sana, hali hii imenifanya nikawa mbinafsi pia. Simuulizi mambo yake, akijisikia atasema. Mimi pia vya kwangu siongei naye, labda aone mwenyewe...... Kuna mahusiano hapo? Kwa ufupi ameniharibu kabisa akili yangu!
Sio kawaida, kwenye mahusiano yanayolenga ndoa ni bora umpime mtu kwa kutumia scenarios za kuigiza.Mwombe kiasi cha fedha mara kadhaa uone anakuaje, jifanye umefulia, kama huwa hukasiriki unatafuta namna unakasirika.Lengo ni kumwona mwenzio anabehave vipi...
 
Sio kawaida, kwenye mahusiano yanayolenga ndoa ni bora umpime mtu kwa kutumia scenarios za kuigiza.Mwombe kiasi cha fedha mara kadhaa uone anakuaje, jifanye umefulia, kama huwa hukasiriki unatafuta namna unakasirika.Lengo ni kumwona mwenzio anabehave vipi...
Kuhusu kuomba fedha, kwanza namuona kila Mara yuko busy na familia yake, muda wote utasikia wanampigia simu za wagonjwa, misiba, ada za shule etc. Hill si tatizo kwangu. Zikitulia simu za ndugu ataanza kudeal na ujenzi, simu za mafundi zinapishana, bado service za magari, utasikia kununua viwanja au mashamba...... Hela yake yote ni kama ni ya maendeleo yake, sasa ukisikia analalamika kaelemewa, utapata nguvu ya kumuomba? Nikikasirika anavurugwa, hapo napo kuna mawili, ataniomba niongee naye private, akiona sijisikii,atatafuta namna tuonane akiwa na rafiki zake, huwa siwezi kuonesha hasira mbele za watu. Tukitoka hapo,ataomba kuongea na Mimi!
Miaka yote nimekuwa kwenye distant relationship, ila muda huu nikaamua niwe na mahusiano ya karibu labda ntaona tofauti, kinacho niboa hata akija kwangu akaona hela anachukua! Mwanzoni nilikuwa nachukulia poa, ila muda huu akijichanganya achukue huwa anapata habari yake,nilisha acha hata kupika akija kunitembelea. Nilikuwa nafanya kwa kupenda lakini nikaona inakuwa kama sheria huku hela yake siijui. Nikijisikia kwenda kwake sijusumbui tena na kazi za nyumbani kama mwanzo. Yaani natafuta stability tu ya moyo wangu then niondoke. Msiseme ni Mario, hapana. Ni MTU mwenye kazi yake, na sikujipeleka, ilimchukua muda kunitafuta na kunipata, na mwanzo alikuwa akifanya kila kitu mpaka nalia!
Alipo kuja kugundua kuwa Nina vimifereji vya hela, nikawa nimejiroga. Na sikuwa na namna maana kama ni safari atajua kuwa nimesafiri nk!
 
Hivi wanawake wenye akili kama wewe humu jf wapo...??kama wapo kuna wanaume wana bahati sana aiseee
 
Kuhusu kuomba fedha, kwanza namuona kila Mara yuko busy na familia yake, muda wote utasikia wanampigia simu za wagonjwa, misiba, ada za shule etc. Hill si tatizo kwangu. Zikitulia simu za ndugu ataanza kudeal na ujenzi, simu za mafundi zinapishana, bado service za magari, utasikia kununua viwanja au mashamba...... Hela yake yote ni kama ni ya maendeleo yake, sasa ukisikia analalamika kaelemewa, utapata nguvu ya kumuomba? Nikikasirika anavurugwa, hapo napo kuna mawili, ataniomba niongee naye private, akiona sijisikii,atatafuta namna tuonane akiwa na rafiki zake, huwa siwezi kuonesha hasira mbele za watu. Tukitoka hapo,ataomba kuongea na Mimi!
Miaka yote nimekuwa kwenye distant relationship, ila muda huu nikaamua niwe na mahusiano ya karibu labda ntaona tofauti, kinacho niboa hata akija kwangu akaona hela anachukua! Mwanzoni nilikuwa nachukulia poa, ila muda huu akijichanganya achukue huwa anapata habari yake,nilisha acha hata kupika akija kunitembelea. Nilikuwa nafanya kwa kupenda lakini nikaona inakuwa kama sheria huku hela yake siijui. Nikijisikia kwenda kwake sijusumbui tena na kazi za nyumbani kama mwanzo. Yaani natafuta stability tu ya moyo wangu then niondoke. Msiseme ni Mario, hapana. Ni MTU mwenye kazi yake, na sikujipeleka, ilimchukua muda kunitafuta na kunipata, na mwanzo alikuwa akifanya kila kitu mpaka nalia!
Alipo kuja kugundua kuwa Nina vimifereji vya hela, nikawa nimejiroga. Na sikuwa na namna maana kama ni safari atajua kuwa nimesafiri nk!

Aisee
 
Why do you need a favor lady?!
Kuna vitu unafanyiwa na mpenzi wako kama favour kwa kuwa wewe ni mwanaume au mwanamke wake....... Naweza kuwa Nina uwezo wa kujilipia saloon, lkn ukinilipia kama mpenzi wako, hiyo ni favour, najisikia kuwa kuna MTU ananijali...... I don't see a lady in me, thou I did everything to make him feel like my lovely man!
 
Kuna vitu unafanyiwa na mpenzi wako kama favour kwa kuwa wewe ni mwanaume au mwanamke wake....... Naweza kuwa Nina uwezo wa kujilipia saloon, lkn ukinilipia kama mpenzi wako, hiyo ni favour, najisikia kuwa kuna MTU ananijali...... I don't see a lady in me, thou I did everything to make him feel like my lovely man!
Its okay lakini bossladies kama wewe, mwanaume kama hela ya ziada hatoweza fanya hivyo since anajua you can pay your bills
 
Back
Top Bottom