Free talk: Mwanamke shtuka!

Hivi utakimbizana na hawa watoto hata lini? Ulimkimbia mzee mwenzio Joseverest ona sasa ulivyoumbuka!!!
José mwenyewe mtoto tuu huoni alivyokuwa ananisumbua?
Nadhani sasahivi nitafute mzee mwenzangu hawa watoto watanipa jaka la moyo.

Au nielekeze akili yangu kwenye kujikwamua kimaisha kwa kuendeleza biashara zangu kuliko kupambana na hawa watoto kama ulivyotushauri kwenye bandiko lako au wewe unasemaje?
 
Umenifanya nimekumbuka kuna story ililetwa humu na mtu ambae kaka yake aliwasomesha wao alafu alipokufa wakasahau familia yake. Watoto na mama yao wakapigwa na maisha hatari. Na ni kwasababu hakumuandaa mkewe kwa maisha ya kesho.
Nnaikumbuka hii.
 
Hahahaaaa!! Baba hapendeki, vipi kozi ya urubani ushaanza?
Ngoja NIKUSANYE HELA KWANZA...NIKIFUZU NITAKWAMBIA...ILA WEWE KICHWA CHAKO KIZURI SEMA NDIYO MAANA NIMESHAWAHI KUKUULIZA KAMA UMESOMA FALSAFA ULINIAMBIA ULISOMA UNAPOSOMEA UALIMU. BILA UNAFIKI NASEMA HADHARANI KICHWA CHAKO KIZURI SIJAJUA KAMA MME WAKO UTAKAMPATA MWINGINE ATAKUWA NA KICHWA KAMA CHAKO. MSHUKURU MUNGU KWA KUKUPENDELEA KUWA NA UBUNGO ULIONAO.
 
Ni sawa na zile ndoto za darasa la pili,kila mwanafunzi anawaza kuwa Pilot,engineer mkubwa ama kua Rais
 
Best njoo kwa kaka yangu, hutajuta kumpata.

Cc Joseverest
 
mumu maneno ya kichungaji nimekupenda bure, unafaa kuwa mke wangu wa pili, naomba kuwasilisha ombi la kukuowaaa
 
Kama zamu yake ya kupika halafu hajapika ale huko huko. Na 50/50 mpaka outing na washkaji. Leo ukienda kuangalia mpira na mimi nikiomba kwenda kwenye outing na mashoga zangu unapiga kimya

Tusifike huku, Mume abaki kuwa kiongozi wa familia japo ni kweli changamoto zipo kwenye haya mambo
Ile ya diamond karanga.
Yeah, una kumbukumbu nzuri Pyaar
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…