Free sms worlwide over internet!

Free sms worlwide over internet!

Hiyo unayo ijua we embu itaje na si tuijue

Usiondoke, nachofanya hapa ni kuhakiki ili napokwanbia pakua app fulan iwe good perfomance na ndo maana nimeomba namba hizo ili waje walete mjeresho baada ya test
 
Tupia basi hiyo makitu tuifaudu na sisi wapenda mteremko jombaaa...
 
NaKumbuka Google walikuaga na hii kitu, ukiwa unatumia gmail kwenye pc pembeni kushoto chat unaweza mtumia mtu wa voda n tigo kwa tanzania, sijui kwanini waliiterminate 2014?
 
Mleta thread unazungumzia app ya VOXOX hapa? Au?


Wanatoa namba ya bure. Ikiwa ni ya marekani.... Na ndugu zetu wengi wenye ulimbukeni wa kutumia namba za nnje ktk whatsapp wanaijua hiyo app.

Kumradhi kama nimekosea.
 
Mleta thread unazungumzia app ya VOXOX hapa? Au?


Wanatoa namba ya bure. Ikiwa ni ya marekani.... Na ndugu zetu wengi wenye ulimbukeni wa kutumia namba za nnje ktk whatsapp wanaijua hiyo app.

Kumradhi kama nimekosea.

Kaka wewe umedandia treni kwa mbele.
 
Hold up....!...Wewe unaijua voxox? Kama huijui piga kimya.... Easy bruh... Watch your goddamn steps.

Hiyo voxox unatuma msg mbili sijui tatu then u just have to pay for the rest au una call kwa zile credit unazopewa bure USD 0.99 hata dakika haishi zishakwisha then you just have to pay. Namba yake kuitumia whatsapp hilo sawa unatumia tu kama kawaida lakini kutuma sms au calling world wide bure kama mdau anavyosema haiwezi kuwa voxox
 
Back
Top Bottom