Free DNA test to curb paternity wrangling

Lol. Na hayo masokomoko yanatokea mara ngapi kwenye ndoa?

Yanatokea mara nyingi tu.

Hivi inatokea out of nowhere mnaanza sokomoko kwa ajili ya wasiwasi wa paternity?

Matatizo ya paternity hayawapati wanandoa tu. Hata kama watu wamezaa bila ya kufunga ndoa na mmoja wao akafungua shauri mahakamani la kutaka kuanza kupata child support (yamkini kwa Tanzania bado tuko nyuma sana kwenye hili), mahakama huamuru paternity testing ifanyike ili kuwe na haki. Mambo ya kulipa child support kwa mwana asiye wako kwa kulazimishwa na mahakama si haki hata chembe. Hivyo, hiyo ni moja ya scenario za paternity testing na jinsi ambavyo inaweza kuleta sokomoko. Sasa unaweza kuanza ku split hairs kama huo ni mwanzo au mwisho, in my view that is academic.

Lazma sokomoko lianzie mahali, hilo la patternity ni hitimisho la sokomoko in my view.

Be that as it may or may not, sokomoko ni sokomoko tu na paternity testing huumbua watu na kama unadhani huo ndiyo mwisho wa sokomoko then I submit to you that you ain't seen nothing yet!
 
And we are left with no choices pia than to play with ur best friends' penises!

That is no
wicked!!! so u get to enjoy two cocks...i like ur attide tho i wuld definately like u to invite my best frend over so we have a threesome..since u enjoy both penises...myt as well enjoy both at once
 
Wahenga walikuwa na hekima sana na ndo maana wakaja na ule msemo wa kitanda hakizai haramu.. Tamaduni nyingi za zamani zilimpa heshima sana mjomba kwa kuwa yeye ndo ana undugu uciopingika na mpwa wake..!
Busara za kuelewa kuwapo kwa watoto wa kubambikiwa ziliwapelekea kuikubali hali hiyo na ndo maana zamani tunakua tunajua mtoto fulani wa jirani amefanana na baba mwingine lakini hucikii kelele..
Kizazi hiki cha sasa ndicho chenye matatizo.. Mnakuja na vipimo.. Acheni uoga..
 
Wahenga walikuwa na hekima sana na ndo maana wakaja na ule msemo wa kitanda hakizai haramu.. Tamaduni nyingi za zamani zilimpa heshima sana mjomba kwa kuwa yeye ndo ana undugu uciopingika na mpwa wake..!
Busara za kuelewa kuwapo kwa watoto wa kubambikiwa ziliwapelekea kuikubali hali hiyo na ndo maana zamani tunakua tunajua mtoto fulani wa jirani amefanana na baba mwingine lakini hucikii kelele..
Kizazi hiki cha sasa ndicho chenye matatizo.. Mnakuja na vipimo.. Acheni uoga..

Hakuna kabisa ubaya wowote ule wa vipimo vya DNA.

Hakuna ubaya kwa sababu watu lazima wawajibike kwa matendo yao.

Mkilalana na mkapeana ujauzito basi wajibu wa kutunza na kulea ni wenu.

Si haki hata kidogo kwa mwingine kutwishwa wajibu ambao si wake halafu yule ambaye anapaswa kuwajibika hawajibiki.

Sasa wewe hayo mambo ya wahenga unayoyasema ni ya zamani ambapo hakukuwepo na hivi vipimo na kulikuwa hakuna namna ya kupima na kuthibitisha.

Kwa vile sasa sayansi na teknolojia inaruhusu kupima na kupata majibu yaliyo ya uhakika kwa kiwango cha juu, I am all for it. People should be accountable for the consequences of their actions, period, end of story.
 
Sasa wewe hayo mambo ya wahenga unayoyasema ni ya zamani ambapo hakukuwepo na hivi vipimo na kulikuwa hakuna namna ya kupima na kuthibitisha.

Kwani Mkuu unadhani walikuwa hawajui kama wamecingiziwa watoto..? Walikuwa wanajua sana.. Sema busara na hekima ziliwapa ujaciri wa kuwa wastahamilivu.. Acili ya msemo kitanda hakizai haramu ilikuwa ni ku-justify kosa ambalo kwao lilikuwa linasameheka..
Kwani wewe Mkuu unahitaji DNA kutambua mtoto ni wako au lah..?
 
Kwani Mkuu unadhani walikuwa hawajui kama wamecingiziwa watoto..?

Utajuaje kwa njia zisizo za kisayansi? Utaangalia kama ana fanana na wewe au?

Walikuwa wanajua sana..

Nadhani wewe unachanganya kujua na kuhisi unless uniambie njia walizokuwa wanatumia kujua. Au hujui maana ya neno kujua?

Sema busara na hekima ziliwapa ujaciri wa kuwa wastahamilivu..

Kuna busara na hekima gani katika kutwishwa ama kujitwisha majukumu ya mtu mwingine ambaye hana sababu ya msingi ya kukwepa majukumu yake? Huo ni ujinga.

Acili ya msemo kitanda hakizai haramu ilikuwa ni ku-justify kosa ambalo kwao lilikuwa linasameheka..

Linasameheka kwa nani? Kwako na kwa wenye mtazamo kama wako? Maana usiongelee kila mtu hapa. Kuna watu kosa kama hilo halisameheki ng'o.

Kwani wewe Mkuu unahitaji DNA kutambua mtoto ni wako au lah..?

Kwa vile sina shaka kuwa ni wangu na hakuna kingine kilichopelekea kuhisi wala kudhani kuwa si wangu, sihitaji DNA.

Lakini vilevile kuna mazingira ambayo hupelekea mtu kuhoji kama kweli mtoto ni wake au siyo wake. Wapo watu ambao hawakuwa na uhusiano kwa muda mrefu (tuseme wiki chache tu) halafu baada ya mwezi mtu unapewa habari za ujauzito.

Na wakati mna-do the do hamkuwa exclusive. Kila mmoja pengine alikuwa ana-do na wengine pia.

Sasa katika mazingira kama hayo kwa nini mtu usihoji? Na kuhoji na kutaka vipimo vya DNA haina maana kwamba unataka kukwepa majukumu au sijui unataka kuanzisha sokomoko.

La hasha! Ni kwamba tu unataka kujirdhisha kuwa kweli huyo mtoto ni wako na kama DNA itathibitisha kuwa ni wako basi uta step-up to the plate na kuwajibika kama mzazi.

Hebu niambie sasa, ubaya uko wapi hapo? What is so unreasonable about it?
 
si ndo hapo babu. na hamuwezi kuwa na sokomoko bila kupigana? manake gender based violence sio ishara ya kutofautiana. kuna watu wanaishi na mgogoro miaka miwili, hakuna kupigana, kutukanana wala nini. ila hakuna tendo la ndoa na kila mtu anajijua anaponaje. watoto wanaweza hata wasigundue kuna tatizo. mara ngapi umeshatofautiana na bibi, hata kama na unyumba mkanyimana, bila kuvutana mashati? why kwenye ndoa hata umsukume mwenzio makusudi?
ni kukosa ustaarabu tu!

Halafu unajua nini King'asti,

Ikitokea ukakaa na mtu ambaye hamkwaruzani basi ujue hapa mnaishi usanii tu...

Ila pamoja na kukwaruana, kunyimana, kununiana n.k...bado mnaendelea kudunda kana kwamba hakuna lilitokea...

Na raha yake muwe mmenuniana halafu aje mgeni mnayemheshimu sana...kama siyo issue kubwa, ugomvi unaishia hapo na kinachofuata ni kubanjua chakula cha Bwana..lol!!

Ila haya mambo ya kupima DNA naona Mungu keshaniepusha na huyo mwovu...

How could I have opened my mouth to tell such trash to my sweet bibi..the mother of my sons and grand ma of grand kids...

Hapana bwana...tuendelee kuyasikia huko huko!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
hiyo article ni kama wanataka kuwasaidia wanawake..........
ingawa niliwahi kusikia "wababa wengi wanaongoza kukataa kwenda kupima HIV wakati wake zao wakiwa wajawazito" ilhali "wamama wengi wanaongoza kukataa kwenda kupima DNA baada ya watoto kuzaliwa" lol!
 
@kaunga hii kitu si reliable kiasi hicho, nonino zinaweza kupenya ukajikuta una mtoto wa 3.

Ha ha ha, nikwambie kitu?
Kama umeshazaa watoto wako say 2, fanya vasestomy kisiri siri huhitaji DNA test wala nini!
 
@Snowhite ukiangalia upande wa pili wa shilingi mfikirie bi dada aliyepata mimba kisha mupenzi kuingia mitini kwa kudai kwamba mimba si yake na kutoa sababu elfu za kutaka kuonyesha mimba si yake. Njemba hapa anataka kukimbia majukumu ya kumhudumia kiumbe. Bi dada anaweza kuwa ni wale wa msimamo kwamba kutoa mimba ni uuaji na hivyo ni dhambi kubwa sana kwa hiyo hilo la kutoa mimba halimo kabisa akilini mwake. Mfikirie na yule Baba anayeweza kubambikiwa kiumbe ambacho hakimhusu kabisa. Hawa wote kwa kutumia huu utaalamu wa DNA haki itatendeka iwapo majibu ya DNA yataonyesha uwezekano wa yeye kuwa baba ni 99.9% na yule baba aliyebambikiwa kiumbe kisichomhusu majibu kuonyesha kwamba hakuna uwezekano wa yeye kuwa Baba wa yule kiumbe. Tukumbuke pia kwamba majibu haya yanaweza kabisa kuwa vice versa.

BAK unahatarisha mustakabhali wa nchi ujue kwa kuleta haya makitu hapa!oh
 
Mtu akija akijipenyeza na kudondosha mbegu kwenye konde langu lililojaa rutba basi imekula kwake !!

Naendelea kuvuna embe dodo na huku nazidi kulipalilia shamba langu, silichomi moto wala kulitelekeza !!

Ila ole wake ni mkute mtu humo shambani, mara ooh! nakata majani ya ng'ombe weeee weeee... UN-LOL !!

Hizi ni busara binafsi !!
 
Back
Top Bottom