Hahaa zamani sana mkuu na ban juuHahaha ungekua wewe sired ingeisha fungwa nadhani hahahahaa.
Duh unategemea nikiwa nasikiliza redio nikariri kila anachoongea?! Huwa namsikiliza tu akichemka linapita sikio hili linatokea sikio lingine.kama vipi hivo..?
Huwa nasikiliza redio nikiwa kwenye gari, wakati wa kwenda na kurudi kwenye mishemwambie wewe, vijiwe vyote vya kahawa vina redio, kwa shoe shine, muuza matunda wanasikiliza redio hata walinzi wako lindo wanasukuma muda kwa kusikiliza redio
hahahaha ngoja nimpigie mamaDaah kweli asee Fredwaa alikua ananiamsha ile alfajiri,,Energy man wamezingua bora arudi,Nashangaa na'tune 88.1 Niskilize Hali ya hewa,reggae,Kakakuona et namsikia Philip Mwihava na KP khaaa nini tena iki??Haya ni maajabu ngoja nimpigie mama
duuuuh hata niwe na bando kiasi gan siwez na isitoshe sio taarifa zote utazipata kwenye mitandao ya kijamii kwa wakati na hata ukiipata ni juujuu tu tofauti na kwenye Radio ntasikiliza music ntapata habari na uchambuzi wa ndan zaidihahahaha ulimbukeni, kusikiliza redio unaonekana wakijijini, yeye habari zote anazipata mtandaoni hana haja ya redio
walikuwa zaman sio sasaUkweli ni kwamba hakuna radio kama mawingu mazee...tuacheni unafki...siku yangu haiendi bila kuwasikiliza hawa jamaa aisee...morning workout yangu ni powerbreakfast mwanzo mwisho...nasikia jamaa yupo likizo.
nikisikia sauti ya yule dada wa amplifaya najikuta nazima redio tu nisije kumkosea mungu burehiki nakiona siku baada ya siku, moja ya kipindi ambacho kimekuwa cha kawaida sana siku hizi ni Amplifaya
Still kwa mimi ni bora kuliko hao sijui east africa...bila hawa jamaa siku haiendi kabisa aiseewalikuwa zaman sio sasa
now kunavitu vinapungua
kunakipindi nlikuwa sipati raha bila kusikiliza mawingu ila now days Ea wapo vzuri zaidi ya mawingu
Ruge hapa alikosea kabisa..RIP thoughnikisikia sauti ya yule dada wa amplifaya najikuta nazima redio tu nisije kumkosea mungu bure
Aisee hongera Mkuu....!!Huwa nasikiliza redio nikiwa kwenye gari, wakati wa kwenda na kurudi kwenye mishe
Wewe huwa husikilizi redio?!
Aisee nasikiliza Mkuu,huku kwetu TBC Taifa.Wewe huwa husikilizi redio?!