Siasa za mwendazake zilikuwa za ki-analogy sana!!Mkuu ukiiangalia tu ' Body Language ' ya Fredy Lowassa huhitaji ' IQ ' kubwa kugundua kuwa huo Ubunge alionao sasa Yeye hakuutaka ila 'alishinikizwa' na 'kulazimishwa' na Hayati Mwendazake ili tu 'Kumfurahisha' na hata 'Kumpoza' Baba yake na 'Maumivu' pamoja na 'Mateso' ambayo CCM na Serikali yake walimpatia Mzee wa Watu ili tu 'Kumkomoa' na arejee rasmi Chamani ( CCM ) na akarudi kweli.
Like father like Son ...................!!Ni takriban miezi saba sasa tangu uwepo wa bunge hili, Mbunge wa Monduli Mh. Fredrick Lowassa hatujamsikia akichangia chochote kama alivyokuwa mtangulizi wake, Mh. Julius Kallanga aliyekuwa na makeke sana?
Au naye kajiunga kwenye kundi la Mh. Abood yule wa Morogoro asiyechangia bungeni?
ndio starehe yake mkuu, kila mtu ana starehe yake au ulevi wake,Jamaa anapenda pombe balaa.
Alifuata maslahi kama Wabunge wengine wote wa CCM na anapata, kelele za nini?Ni takriban miezi saba sasa tangu uwepo wa bunge hili, Mbunge wa Monduli Mh. Fredrick Lowassa hatujamsikia akichangia chochote kama alivyokuwa mtangulizi wake, Mh. Julius Kallanga aliyekuwa na makeke sana?
Au naye kajiunga kwenye kundi la Mh. Abood yule wa Morogoro asiyechangia bungeni?
Huyo Fred bungeni haongei na unaambiwa jimboni hakuna cha maana kinachoendelea. Akitoka zake Dodoma ni Dar...! Masaini aende kufanya nini huko? Na hata akiendea kampani yake ni ya wachapa kinywaji na hana muda wa kuonana na watu wa kawaida.Hebu watafute wabunge wanaochonga sanaaaaa mfano Kibajaj, Msukuma n.k...
Halafu rudi kutazama maendeleo katika majimbo yao na uyalinganishe na majimbo ya wabunge watulivu bungeni...
Baada ya hapo tutaweza discuss hili la mwana wa Lowassa kuwa 'bubu bungeni'