muheza2007
JF-Expert Member
- Mar 19, 2010
- 483
- 771
Hata mimi ndivyo nilivyosikia, wacha tusubiri tarehe 08/04/2010 tusikie na upande mwingine wa shilingi na kisha wananchi tuamue.Nasikia vikao vya juu ndani ya chama vilishapitisha kuwa jamaa atemwe. Ameamua kuwa-pre-empty
Kuna wengine pia panga linawakaribia, huenda kesho wakaruka pia.