S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 82
Nimjuavyo Mpendazoe,
Alikuwa DG wa baraza la mazingira, akahamia wizara ya maji kabla ya kwenda jimboni. Kwa watu waliofanya nae kazi wanamjua. Ana msimamo ya yale anayoyaamini, ni mchapakazi. Wavivu wote wa kufikiri na kutenda kwa mazoea wanamjua vizuri huyu.
With all due respect mkuu, tulisikia sifa hizi hizi akipewa JK, Pinda na hata Lowassa. Iwapo watu wa aina hii wapo Serikalini kwa nini tunashida sana kwenye kufuta urasimu?