Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Halafu watu wanatakiwa kujua kuwa fake doesn't necessarily have to be of low quality.Gucci ata za Mtumba Bongo kuziona tu shida,Sembuse ziwepo Sinza Madukani😁😁
Maduka ya nguo Sinza,Kariakoo,Kinondoni...kwa kifupi Yote Tanzania akuna Pochi,nguo,saa,pafyum Original zote fake/midosho...
View attachment 1771369
View attachment 1771373
Mfano: Mtu anaweza kutengeneza Juisi bora kabisa kuliko za Azam, ila kama akizi brand Azam tayari hiyo ni Azam fake hata kama ni high quality.
Ukitaka Brands z mtumba, kabda uagize mtandaoni kwenye consignment shops kutoka Marekani. Siyo bei rahisi vile vile.