Fred Vunja bei: Maduka yetu pekee ndio yanauza nguo original hapa Bongo

Nitajaribu siku. Nimevaa makadeti ya uyu MR Kadeti, na Kariakoo, dah shariti usifue, ukifua tu chalii.
Achana na kadeti za mchina hizo mzee .

Mimi napiga kadeti ya mtumba zile Safi kabisa nenda ilala pale asubuhi Sana huwa wanafungua balo za mtumba pia kuna mafundi wanazipungua hapo hapo

Wale madogo na washkaji wa kariakoo wanaouza njiani barabara ya karume wanazitoa kule ilala

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Niliwahi fika kwa duka la vunjabei pale Sinza
Ni uchafu ni vurugu
Hakuna original zote ni made in China toleo la nne vichochoroni Guangzhou
Nguo zinachuja rangi hatari
Ni bora uende Kariakoo kuliko vunjabei (ni maoni yangu tu)
It's true..niliwahi nunua jeans pale .nilivaa mara mbili nikaligawa..mara 100 niende kkoo ninajichagulie cha bei ila ubora kidogo afadhali
 
Baada ya kusikia jina Vunja bei kwa muda mrefu mitandaoni ikabidi na mimi nigoogle, nikafaikiwa kukutana na podcast moja ya vunja bei.
Jamaa ameongea mambo mengi sana na moja amewataka wateja waje kwa wingi kwenye maduka yake maana hamna kitu fake vyote ni original.
Anasema ukikuta nguo imeandikwa Gucci lakini inauzwa elfu 15 basi fahamu hela iliyobaki Fred Vunja bei kakulipia,nguo zetu zote ni OG.
waakuu yapi maoni yenu?
Anauza fake tupu, kwanza hata hizo original hakuna kabisa dukani
 
Baada ya kusikia jina Vunja bei kwa muda mrefu mitandaoni ikabidi na mimi nigoogle, nikafaikiwa kukutana na podcast moja ya vunja bei.
Jamaa ameongea mambo mengi sana na moja amewataka wateja waje kwa wingi kwenye maduka yake maana hamna kitu fake vyote ni original.
Anasema ukikuta nguo imeandikwa Gucci lakini inauzwa elfu 15 basi fahamu hela iliyobaki Fred Vunja bei kakulipia,nguo zetu zote ni OG.
waakuu yapi maoni yenu?
Anajikosha tu
 
Back
Top Bottom