Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 19,095
- 49,895
Ilo duka lipo wapi mzee baba? Ila kama Mlimani City utakua umenikosea sana 🤣🤣🤣mkuu wewe ni wakuchukua nguo zako woolworths.. huko kwingine hapakufai
Mlimani nishawahi nunua t-shirt tu MR Price nalo ata halikua zuri, zaidi ya hapo uwa naingia kupoa na AC za bure nikitoka Ubungo natembea naenda Mwenge.