Ngoja wakuonyeshe zile za T-shirt moja 100k kupanda juu...
Uambiwe nguo original brands kama Gucci, Versace, calvin Klein, Ralph Lauren, Loius Vuitton, Hermes, Prada halafu wajuba wanakwambia ni elfu kuni na tano au elfu tisa ushindwe kujiongeza
Ngoja wakuonyeshe zile za T-shirt moja 100k kupanda juu...
O.G unazipata wapi?1Gucci ata za Mtumba Bongo kuziona tu shida,Sembuse ziwepo Sinza Madukani
Maduka ya nguo Sinza,Kariakoo,Kinondoni...kwa kifupi Yote Tanzania akuna Pochi,nguo,saa,pafyum Original zote fake/midosho...
View attachment 1771369
View attachment 1771373
p funk majani nasikia na yeye huwa anaenda kununua nguo zake marekaniHalafu watu wanatakiwa kujua kuwa fake doesn't necessarily have to be of low quality.
Mfano: Mtu anaweza kutengeneza Juisi bora kabisa kuliko za Azam, ila kama akizi brand Azam tayari hiyo ni Azam fake hata kama ni high quality.
Ukitaka Brands z mtumba, kabda uagize mtandaoni kwenye consignment shops kutoka Marekani. Siyo bei rahisi vile vile.
hivi hawajawahi kuchukuliwa hatua?Fake ni pale unapotengeneza bidhaa na kuipa jina la Bidhaa nyingine bila makubaliano halali ya Kisheria.Tengeneza Juice hiite Jina lako ..lakini unapoibatiza jina la mtu mwingine hilo alikubaliki.China inaongoza kwa kuzalisha fake Products.Mwaka juzi waliwai tengeneza Fake Mercedis Benzi.hapa TZ TV,Simu,Pombe kali vyenye majina makubwa vingi Ni fake kutoka China
unamaamisha kwamba wakinga wanabiashara nyingi kariakoo au?We ndo una akili sasa hii vita mmetupiga sana wachaga sasa wakinga watawakoma kisa wametoboa
hivi mnavyosema wakinga wanakimbiza kariakoo mnamaanisha nini? msaada tafadhaliWakinga hawajaanza wizi na dhulma tu. Wakianza lazima tuwawashie moto
itabidi uagize mbele mzeeVunja bei hana nguo nimataputapu tu wallah nimezunguka kutafuta nguo kali na unique maduka ya kino, sinza na kariakoo na nimekosa
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaaa duka gani hilo?Ngoja wakuonyeshe zile za T-shirt moja 100k kupanda juu...
Nimeshangaa sana Kusikia kuwa anauza vitu original!!
Sisi na nani tumesema???hivi mnavyosema wakinga wanakimbiza kariakoo mnamaanisha nini? msaada tafadhali
Siyo lazima uende. Unaweza kuagiza ukiwa hapa hapap funk majani nasikia na yeye huwa anaenda kununua nguo zake marekani
Jamaa kawateka vibaya mno wakongo daily ukienda dukani kwake lazima upishane nae...sandaland kibokoangekuwa na pesa anayopiga jamaa mwenye sandaland sijui kama tukikunywa maji
Hao watu wako serious na biashara sana hawataki faida kubwaunamaamisha kwamba wakinga wanabiashara nyingi kariakoo au?
Nguo nyingi duniani hata za huko New York,London,Paris,South ni made in China,tofauti ni made in China kwa niaba ya mabeberu na zinazofeli standard ya beberu ndiyo tunaletewa Africa.ndiyo maana unapata gucci ya laki kiuhalisia hakuna kitu cha gucci kinaweza uzwa laki ya madafu.Gucci mwenyewe hatambui store inayoitwa vunja bei inasambaza vitu vyake.Nguo og zipo south si hapa bongo hapa ni michina tu
Jamaa kawateka vibaya mno wakongo daily ukienda dukani kwake lazima upishane nae...sandaland kiboko
Kabisaaa. Bora ununue kitu unajua kina quality kwa bei kubwa na siyo shorts kwa 15k halaf akifua haivaliki tenaKuna dada hapo chini ya duka lake (lenye ghorofa) ukweli anauza vitu original kama vya South kabisa japo bei mbaya. Gauni unapata kuanzia 120,000 kwenda juu.
Walikua na duka oilcom ubungo wamehamainapatikana wapi?
Acha kabsawalikuchukulia poa
pia vitu vyake ni quality nzuri sanaJamaa kawateka vibaya mno wakongo daily ukienda dukani kwake lazima upishane nae...sandaland kiboko