PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,683
- 15,856
Cc Pascal MayallaFred Lowassa akihojiwa na Millard baada msiba wa Lowassa ameongea mambo kadhaa kuhusu baba yake. Moja ya swali aliloulizwa ni kipi hawezi kusahau kutoka kwa baba yake.
dhani hilo jambo mimi nimejifunza, namshukuru Mungu sana.