TANZIA Francis Mtega, Mbunge wa Mbarali afariki dunia kwa ajali ya bodaboda

Salaam,

Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani Mbeya kupitia tiketi ya chama cha CCM, ndungu Francis Leonard Mtega amefariki dunia leo.

Update zote kuhusu maziko, ugonjwa na msiba nitaleta hapa..

Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.

Innalillah wainna ilayhi rajiuun.

===
View attachment 2675227
Kupitia ukurasa wa WhatsApp wa M/kiti UVCCM Wilaya Mbarali, Medson Mwambapa (Sweetbert); Mbunge wa Mbarali, Francis Mtega amefariki kwa ajali ya Pikipiki aliyokuwa anaiendesha akitokea shambani kwake kugongana na trekta.
Mjuze mwarabu wa Dubai ashughulikiwe mazishi ya chawa huyo
 
Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani mbeya, Francis Mtega amefariki Dunia kwa ajali jimboni kwake Mbarali.

Mbunge huyo amefariki Dunia kwa ajali ya pikipiki iliyotokea maeneo ya Chimala wilayani Mbarali baada ya kugongana na Pawatila akiwa anatokea shambani.

Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema kuwa mbunge huyo alikuwa anatokea shambani kwake na ndipo akakumbana na ajali hiyo.

TAARIFA ZAIDI ZITAWAJIA
 
Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani mbeya, Francis Mtega amefariki Dunia kwa ajali jimboni kwake Mbarali.

Mbunge huyo amefariki Dunia kwa ajali ya pikipiki iliyotokea maeneo ya Chimala wilayani Mbarali baada ya kugongana na Pawatila akiwa anatokea shambani.

Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema kuwa mbunge huyo alikuwa anatokea shambani kwake na ndipo akakumbana na ajali hiyo.

Taarifa zaidi zitawajia hapa
 
Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani mbeya, Francis Mtega amefariki Dunia kwa ajali jimboni kwake Mbarali.

Mbunge huyo amefariki Dunia kwa ajali ya pikipiki iliyotokea maeneo ya Chimala wilayani Mbarali baada ya kugongana na Pawatila akiwa anatokea shambani.

Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema kuwa mbunge huyo alikuwa anatokea shambani kwake na ndipo akakumbana na ajali hiyo.

TAARIFA ZAIDI ZITAWAJIA
😭
 
Back
Top Bottom