Francis Cheka (TZ) vs Phil Williams (US)

LEGE mkuu vip? Tupia yanayojiri basi
 
Last edited by a moderator:
Naona mkuu LEGE kapotea ghafla! hao wale "wahuni" tunaoambiwa wapo kwenye ngumi wamemlza mawasiliano yake'
 
Kudadeki maugo kapigwa kama kafumaniwa na mke wa mtu shenz type Jaluo
 
Cheka bingwa kwa point

Mkuu fanya kama kauchambuzi kidogo, maana hakuna site yeyote inayoripoti mchezo huu na wewe ndio ripota pekee duniani unayetupa habari soon baada ya mchezo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…