Foundation course bado IPO

Foundation course bado IPO

mbalazo docta

Member
Joined
Aug 7, 2017
Posts
44
Reaction score
22
Wana jforum naomba kufahamishwa km foundation course inatumima miaka hii ya sasa na huwa inakuwaje kuwaje.??
NB jukwaa la elimu usijibu kidaku mbona majukwaa ya udaku yapo tu hujui kitu kaa pita kushoto kwenye huu Uzi watu wanashida ya kufahamu
 
Ndugu mbona mbali kabla hata wenyewe hawajaja? Jibu: ndio hipo lakini kwa sasa nadhani wenye kibali Cha kuendesha kozi hiyo ni open university pekee. Kwa maelezo zaidi visist www.out.ac.tz au tawi lao lililo karibu nawe. Matawi yako mikoa yote tanganyika na zanzibar na baadhi ya walaya tanganyika na zanzibar
Wana jforum naomba kufahamishwa km foundation course inatumima miaka hii ya sasa na huwa inakuwaje kuwaje.??
NB jukwaa la elimu usijibu kidaku mbona majukwaa ya udaku yapo tu hujui kitu kaa pita kushoto kwenye huu Uzi watu wanashida ya kufahamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom