Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,651
- 860,929
A fossil is sometimes regarded as dead rock but with engraves of dead insects, tiny animals or plants...... That's is our life, we leave footprints to whatever we do... From beginning to the very end...
Building an empire is not something very easy like having intimation with someone you have been hallucinating with. ....
Ngoja niandike kibantu tuu....
Kujenga himaya sio kitu rahisi kama kungonoka na mchepuko uliofukuzia kwa muda mrefu hata kama uko chini ya milki ya mwingine. Himaya zinajengwa kwa misingi taratibu na kanuni. Halafu zinalindwa na kusimamiwa na sheria
Hapa kuna mihimili huundwa ili kuweza kuifanya himaya isimame istawi na kushamiri.... Himaya sio majengo, miundombinu na mipaka tuu... Ustawi wa himaya hustawishwa na wakazi kupitia ile misingi kanuni na taratibu... Halafu sheria anakuwa mlinzi
Maono ya anayekalia kiti cha usukani wa himaya ni muhimu sana kwakuwa maono yake ndio kama nuru na kurunzi la kumulika mbele... Kurunzi la maono ni muhimu sana... Kama likiwa halina mwanga wa kutosha lazima shida itokee mbeleni... Kurunzi hili la maono hupata miongozo toka kwenye misingi kanuni na taratibu za himaya.. Hiyo ndio mikono na miguu yake.. Hiyo ndio glopu na nishati yake...
Hayo yote kwa Pamoja ukichanganya na wakazi wake kwa kufuata misingi na falsafa ya himaya... Ndio ustawi hutokea. Mkalia kiti cha himaya kamwe hawezi kuwageuza wabeba kiti shomoro. Shomoro ni ndege asiye na thamani ukinunua wawili unapewa nyongeza ya mmoja kwa bei ile ile ya wawili.
Tusijenge himaya ya utando wa buibui akishatandika utando wake yeye hukaa kati na kusubiri ayakayenasa... Na akishanasa haraka huzingirwa na kuviringwa utando asiweze kupumua wala kujisogeza tena.. Kisha hufyonzwa damu yote mpaka kifo... Hii haina tofauti na ile biashara ya billion 5.
Tujenge himaya kama chungu.. hana akida wala haendi kwa mjeledi kama punda. Tujenge himaya kama nyuki au siafu. Tutende pamoja. Hatubaguani.. Hatuumizani.. Hatuchukiani. Adui wa mmoja ni adui wa wote. Rafiki wa mmoja ni rafiki wa wote. Akida awepo kama alama ya kurunzi lakini asiwe na buibui na utando wake.
Kama wadudu kama siafu na nyuki wanaweza kujipanga na kutenda kwa shirika. Kutenda kwa umoja.. Kutenda kwa muktadha wa makubaliano sawia nitajishangaa sana kama wanahimaya watalishindwa hili. Yani kuzidiwa akili na maarifa na kiumbe kidogo kabisa!!!!
Mwambie AKIDA atafakari sana....
Fossil ni jiwemwamba mfu halifai kujengea kwenye msingi bali nakshi tu. Lina matobo na mipasuko mingi. Tusijenge himaya ya jiwemwamba mfu. Itakapokuja tufani. Tutashindwa kuhimili.. Tusiwe na himaya na mbweha wala fisi. Kanuni ya survival of the fittest....
Hatujachelewa bado tunaweza kuamua kusitisha chaguzi zote za marudio kwa faida yetu sote.. Pesa ambayo tungepoteza huko tuipeleke kwenye huduma muhimu za jamii kama elimu tiba lishe afya na miundombinu
Building an empire is not something very easy like having intimation with someone you have been hallucinating with. ....
Ngoja niandike kibantu tuu....
Kujenga himaya sio kitu rahisi kama kungonoka na mchepuko uliofukuzia kwa muda mrefu hata kama uko chini ya milki ya mwingine. Himaya zinajengwa kwa misingi taratibu na kanuni. Halafu zinalindwa na kusimamiwa na sheria
Hapa kuna mihimili huundwa ili kuweza kuifanya himaya isimame istawi na kushamiri.... Himaya sio majengo, miundombinu na mipaka tuu... Ustawi wa himaya hustawishwa na wakazi kupitia ile misingi kanuni na taratibu... Halafu sheria anakuwa mlinzi
Maono ya anayekalia kiti cha usukani wa himaya ni muhimu sana kwakuwa maono yake ndio kama nuru na kurunzi la kumulika mbele... Kurunzi la maono ni muhimu sana... Kama likiwa halina mwanga wa kutosha lazima shida itokee mbeleni... Kurunzi hili la maono hupata miongozo toka kwenye misingi kanuni na taratibu za himaya.. Hiyo ndio mikono na miguu yake.. Hiyo ndio glopu na nishati yake...
Hayo yote kwa Pamoja ukichanganya na wakazi wake kwa kufuata misingi na falsafa ya himaya... Ndio ustawi hutokea. Mkalia kiti cha himaya kamwe hawezi kuwageuza wabeba kiti shomoro. Shomoro ni ndege asiye na thamani ukinunua wawili unapewa nyongeza ya mmoja kwa bei ile ile ya wawili.
Tusijenge himaya ya utando wa buibui akishatandika utando wake yeye hukaa kati na kusubiri ayakayenasa... Na akishanasa haraka huzingirwa na kuviringwa utando asiweze kupumua wala kujisogeza tena.. Kisha hufyonzwa damu yote mpaka kifo... Hii haina tofauti na ile biashara ya billion 5.
Tujenge himaya kama chungu.. hana akida wala haendi kwa mjeledi kama punda. Tujenge himaya kama nyuki au siafu. Tutende pamoja. Hatubaguani.. Hatuumizani.. Hatuchukiani. Adui wa mmoja ni adui wa wote. Rafiki wa mmoja ni rafiki wa wote. Akida awepo kama alama ya kurunzi lakini asiwe na buibui na utando wake.
Kama wadudu kama siafu na nyuki wanaweza kujipanga na kutenda kwa shirika. Kutenda kwa umoja.. Kutenda kwa muktadha wa makubaliano sawia nitajishangaa sana kama wanahimaya watalishindwa hili. Yani kuzidiwa akili na maarifa na kiumbe kidogo kabisa!!!!
Mwambie AKIDA atafakari sana....
Fossil ni jiwemwamba mfu halifai kujengea kwenye msingi bali nakshi tu. Lina matobo na mipasuko mingi. Tusijenge himaya ya jiwemwamba mfu. Itakapokuja tufani. Tutashindwa kuhimili.. Tusiwe na himaya na mbweha wala fisi. Kanuni ya survival of the fittest....
Hatujachelewa bado tunaweza kuamua kusitisha chaguzi zote za marudio kwa faida yetu sote.. Pesa ambayo tungepoteza huko tuipeleke kwenye huduma muhimu za jamii kama elimu tiba lishe afya na miundombinu