forums za kiinglishi

Safi tu mkuu,nadifferentiate kidogo tu

Sawa mkuu, bila shaka unatumia first principle of dy/dx inayosema:
if y=f(x) then
f'(x)=(f(x+h)-f(x))/h
lim h-->0,
cna hakika hua naiona tu mkuu.
 
hahahha what you say???it done yes...lol

Si unaona mtoa Mada unavyokitema , utakijua haraka inavyoonesha una kichwa nyepesi , bluutusi yako nahisi ina 5 G.B
Mi kabla sijaja hapa Jeief nilipita kwanza nikasoma English figure .
 
ngoja nihame thread nisije kuitwa chizi hapa maskani.

hapa nilipo niko peke yangu na umenifanya nicheke mpaka natokwa na machozi, hii thread mods, wangeihamishia kwenye jukwaa la jokes & gossips!
 
hapa nilipo niko peke yangu na umenifanya nicheke mpaka natokwa na machozi, hii thread mods, wangeihamishia kwenye jukwaa la jokes & gossips!

huwezi kuwa serious kwa kweli.......
watu tunavunja mayai wewe unasema tuwekwe kwenye utani....
siamini......
 
Sawa mkuu, bila shaka unatumia first principle of dy/dx inayosema:
if y=f(x) then
f'(x)=(f(x+h)-f(x))/h
lim h-->0,
cna hakika hua naiona tu mkuu.

limit exist if and only if f(x) is finate and continous or otherwise piecewise continous along its domain-mfano wa technical english.
 
Gudi moning ladies and gentolemen... today I am very very shakespear..... senkyuu
 
Back
Top Bottom