Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,226
Musa and Baraka are brothers.
Are you Mrs. daud au Mr. Daud?
Are you Mrs. daud au Mr. Daud?
hahahha what you say???it done yes...lol
hahahha what you say???it done yes...lol
Is mwanamtapa?
Maana yake: zamani sana
it is very mathematics
ni aghali sana
kilimanjaro is geography
kilimanjaro kuna milima
you are very civics
unaongea sana
yes we can
english dare for more
connectingg people
Life is Good
Nokia
Samsung
Is mwanamtapa?
Maana yake: zamani sana
it is very mathematics
ni aghali sana
kilimanjaro is geography
kilimanjaro kuna milima
you are very civics
unaongea sana
jamani wekeni hapa forums kama hii jamii forums,za kiinglish nikajoin...nataka niimprove english yangu iwe kama ya akina nyani ngabu na kiranga,nimegundua muda mwingi natumia lugha ya kiswahili,nyumbani na familia tunawasiliana kwa kiswahili na pia online nasikiliza bongo fleva na kuchat nachat na waswahili wenzangu.......nataka nibadilike matumizi yangu muda mwingi yawe enlish kwa sababu ndio lugha nitakayoitumia hapo baadae..
Ha..ha..ha..Super sport...the channel of Champions.
Rebeca binti..tafuta mada nzuuuuri ya kuundia thread halafu andika kiinglishi kitupu watu watashiriki..Ila pale chini andika
ONYO:No smoking Kongosho(Kongosho akae mbali)
Hahahaaa kweli umekuja kuchafua hali ya hewa hukuI stayed english 6years
Nilikaa uingereza miaka 6
hahahha what you say???it done yes...lol
Hahahaaa kweli umekuja kuchafua hali ya hewa huku
Lol
Jelas, jelas.
I speak eggs tupu.
You will sun, English is very president (Utajua tu, kiingereza ni rahisi sana)
unajua nyie mnakosea
mnakakamaa sana
ili uongee english nzuri lazima umesimama at easy not attension.
Afu unaongea haraka haraka neno lolote la kizungu. Ukishapata acceleration basi kinaselereka tu.
Ngoja nihame thread nisije kuitwa chizi hapa maskani.
na inategemea na msosi uliokula....sio ule ugali na dagaa ukashushia na togwa ukaanza kuongea kingereza....utalia...
didn't the what...english good everyday....and together....children more.....
Hahahaha lol,hii safi sana mwanzo mzuri