Unapofungua JF where do u start, Kuna wengine wanaanzia Jamii photo, wengine International, Wengine Siasa, Wengine, Kwa Docta kule, Wengine wanaanzia Inteligence, basi kila mmoja na upande wake, WEWE HUWA UNAAZIA WAPI?, To be honest mie huwa naaziaga Hoja na Habari Mchanganyiko!
Unapofungua JF where do u start, Kuna wengine wanaanzia Jamii photo, wengine International, Wengine Siasa, Wengine, Kwa Docta kule, Wengine wanaanzia Inteligence, basi kila mmoja na upande wake, WEWE HUWA UNAAZIA WAPI?, To be honest mie huwa naaziaga Hoja na Habari Mchanganyiko!
Mimi naanziaa siasa na new posts always nimeshakuwa addicted wa uwanja wa siasa baadaye ndio nitaenda kwenye viwanja vingine.....JF ikienda down for weeks duu najua wengi sana wataathirika kisaikolojia sana sanasanaa.....