Formula gani nzuri kwa ajili ya kuku wa nyama?

Wakuu naombeni muongozo katika hili, nahitaji kujua jinsi ya kutengeneza chakula cha kuku wa nyama (broiler).

Vyakula vya kuku wa nyama Vimepanda maradufu halafu soko la Kuku hilo pia linasumbua.

Tafadhali mwenye kujua formula ya utengenezaji wa chakula hicho na kuku akakua vizuri. Na kama kuna aliewahi kutumia njia hiyo. Naombeni uzoefu wenu.

Asanteni
Kuliko kutafuta saving kwenye broiler kwa kuchanganya chakula chako ni bora ujitahidi kupunguza vifo,magonjwa na upotevu wa chakula kwa kumwaga mwanga,sio rahisi kupata siri/formula ya kuwachanganyia hawa kuku wa week 6 na ukafanikiwa so usipoteze muda kulitafuta hili.
Pili Kama unaona ni biashara ngumu badili broiler ufuge chotara hawa kidogo huwa wanajitahidi kuhimili mazingira ya ulaji wa vyAkulatofauti tofauti
Broiler humu kwa unachokitaka hakiwezekani kwa mfugaji mdogo kuwana hiyo kitu unayoitafuta.
 
Wakuu naombeni muongozo katika hili, nahitaji kujua jinsi ya kutengeneza chakula cha kuku wa nyama (broiler).

Vyakula vya kuku wa nyama Vimepanda maradufu halafu soko la Kuku hilo pia linasumbua.

Tafadhali mwenye kujua formula ya utengenezaji wa chakula hicho na kuku akakua vizuri. Na kama kuna aliewahi kutumia njia hiyo. Naombeni uzoefu wenu.

Asanteni
Kweli kwa sasa vyakula vimepanda Bei sana vya broiler yan inafika hatua mpk inakatisha tamaa kuendelea kufuga ila ukisema uchakachue kuku nao unakuta wanadumaa unapata hasara kubwa zaidi yani ni changamoto kwa kweli
 
Kweli kwa sasa vyakula vimepanda Bei sana vya broiler yan inafika hatua mpk inakatisha tamaa kuendelea kufuga ila ukisema uchakachue kuku nao unakuta wanadumaa unapata hasara kubwa zaidi yani ni changamoto kwa kweli
Ndo maana tunahitaji kujua formula gani wanatumia nasisi tutengeneze wenyewe
 
Uzipoteze muda kutafuta hiyo formula hutapata.

Na ukipata utatapeliwa. Kuku watadumaa hutaamini.
 
Chakula kimepanda bei tena finisher ya backbone nilikuwa nanunua elfu 78,000 ila leo nimeambiwa 81,000 na bado kuku sokoni biashara ipo vibaya yaan inanilazimu hawa nilionao niwauze 5,500/= ili maana wanakimbilia wiki ya tano
 
Chakula kimepanda bei tena finisher ya backbone nilikuwa nanunua elfu 78,000 ila leo nimeambiwa 81,000 na bado kuku sokoni biashara ipo vibaya yaan inanilazimu hawa nilionao niwauze 5,500/= ili maana wanakimbilia wiki ya tano
Pole mkuu ata mimi yamenikuta ayo
Hao wanopandisha bei ivo za vyakula waangalie na hawa watumiaji wa chini ambao ni sisi wanatuumiza kweli kweli

Kwa zenji bei zipo hivi
Starter backbone 930000
Grower backbone 90000
Finisher hii sina uhakika na bei yake
Apo anakuja mnunuzi pia anakulalia yni inauma sanaa
 
Uzipoteze muda kutafuta hiyo formula hutapata.

Na ukipata utatapeliwa. Kuku watadumaa hutaamini.
Kuna jirani yangu alike anafuga kuku wa nyama idadi yake inafika hadi kuku elfu tatu, chakula, alikuwa anamix mwenyewe. Maana alikuwa na mashine.
Sahiv anafuga wa mayai na anatengeneza mwenyewe chakula chake
 
Mie ni mfugaji wa mida mrefu sana toka mwaka 2008. Ukilisha chakula cha kutengeneza kuna changamoto kukipatia hivyo unakuta kuku mpk anapata uzito kamili mpk wiki ya 5 -6. Ukitumia chakula mfano cha backbone unauza wiki ya 4 tu.

Kipindi hiki kuku ni wengi sana mtaani na bei ya chakula imepanda mno. Kama mtaji wako ni mdogo usifuge kipindi hiki. Tuachie ma-giants. Mfugaji mdogo suniri bei ianzie 6200 mpk 6500 ndio kuna faida kwa hivi vyakula vya backbone

Kuku ni wengi sana kuanzia mwishoni wa mwezi Oktoba mpk sasa. Hata vifaranga sasa hivi ni vingi sana na vimeshuka bei tatizo soko la kuku baya na hii itaenda mpk January kwa uzoefu

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Tangu 2008,hongera sana hope utakuwa na kuku zaidi ya 2000
Mie ni mfugaji wa mida mrefu sana toka mwaka 2008. Ukilisha chakula cha kutengeneza kuna changamoto kukipatia hivyo unakuta kuku mpk anapata uzito kamili mpk wiki ya 5 -6. Ukitumia chakula mfano cha backbone unauza wiki ya 4 tu.

Kipindi hiki kuku ni wengi sana mtaani na bei ya chakula imepanda mno. Kama mtaji wako ni mdogo usifuge kipindi hiki. Tuachie ma-giants. Mfugaji mdogo suniri bei ianzie 6200 mpk 6500 ndio kuna faida kwa hivi vyakula vya backbone

Kuku ni wengi sana kuanzia mwishoni wa mwezi Oktoba mpk sasa. Hata vifaranga sasa hivi ni vingi sana na vimeshuka bei tatizo soko la kuku baya na hii itaenda mpk January kwa uzoefu

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Mie ni mfugaji wa mida mrefu sana toka mwaka 2008. Ukilisha chakula cha kutengeneza kuna changamoto kukipatia hivyo unakuta kuku mpk anapata uzito kamili mpk wiki ya 5 -6. Ukitumia chakula mfano cha backbone unauza wiki ya 4 tu.

Kipindi hiki kuku ni wengi sana mtaani na bei ya chakula imepanda mno. Kama mtaji wako ni mdogo usifuge kipindi hiki. Tuachie ma-giants. Mfugaji mdogo suniri bei ianzie 6200 mpk 6500 ndio kuna faida kwa hivi vyakula vya backbone

Kuku ni wengi sana kuanzia mwishoni wa mwezi Oktoba mpk sasa. Hata vifaranga sasa hivi ni vingi sana na vimeshuka bei tatizo soko la kuku baya na hii itaenda mpk January kwa uzoefu

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Mimi nimeanza kufuga mwezi wa pili biashara imeenda vizuri ila mwezi huu ndio nimeona changamoto wateja shida na nna kuku mia 600 bandani wanaelekea wiki ya 5 sasa hii kupanda kwa bei ya chakula kwa mimi mwenye wateja wa kusuasua inanipa changamoto labda wewe mkongwe ungenisaidia mbinu na connection zozote kama unazo
 
Kuna jirani yangu alike anafuga kuku wa nyama idadi yake inafika hadi kuku elfu tatu, chakula, alikuwa anamix mwenyewe. Maana alikuwa na mashine.
Sahiv anafuga wa mayai na anatengeneza mwenyewe chakula chake
Huyu ni tajiri na ana uwezo
 
Mie ni mfugaji wa mida mrefu sana toka mwaka 2008. Ukilisha chakula cha kutengeneza kuna changamoto kukipatia hivyo unakuta kuku mpk anapata uzito kamili mpk wiki ya 5 -6. Ukitumia chakula mfano cha backbone unauza wiki ya 4 tu.

Kipindi hiki kuku ni wengi sana mtaani na bei ya chakula imepanda mno. Kama mtaji wako ni mdogo usifuge kipindi hiki. Tuachie ma-giants. Mfugaji mdogo suniri bei ianzie 6200 mpk 6500 ndio kuna faida kwa hivi vyakula vya backbone

Kuku ni wengi sana kuanzia mwishoni wa mwezi Oktoba mpk sasa. Hata vifaranga sasa hivi ni vingi sana na vimeshuka bei tatizo soko la kuku baya na hii itaenda mpk January kwa uzoefu

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Hongera mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom