Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,412
- 26,896
Nina contact na mtu wa tangrains/tanfeeds kama ni mtaalamu vya kula. He can help you. kama bado unauhitaji nijulishe nikushushie PMWakuu naombeni muongozo katika hili, nahitaji kujua jinsi ya kutengeneza chakula cha kuku wa nyama (broiler).
Vyakula vya kuku wa nyama Vimepanda maradufu halafu soko la Kuku hilo pia linasumbua.
Tafadhali mwenye kujua formula ya utengenezaji wa chakula hicho na kuku akakua vizuri. Na kama kuna aliuewahi kutumia njia hiyo. Naombeni uzoefu wenu.
Asanteni.