Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,252
Wakuu naombeni muongozo katika hili, nahitaji kujua jinsi ya kutengeneza chakula cha kuku wa nyama (broiler).
Vyakula vya kuku wa nyama Vimepanda maradufu halafu soko la Kuku hilo pia linasumbua.
Tafadhali mwenye kujua formula ya utengenezaji wa chakula hicho na kuku akakua vizuri. Na kama kuna aliuewahi kutumia njia hiyo. Naombeni uzoefu wenu.
Asanteni.
Vyakula vya kuku wa nyama Vimepanda maradufu halafu soko la Kuku hilo pia linasumbua.
Tafadhali mwenye kujua formula ya utengenezaji wa chakula hicho na kuku akakua vizuri. Na kama kuna aliuewahi kutumia njia hiyo. Naombeni uzoefu wenu.
Asanteni.