Entrepreneur
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 1,087
- 620
Polen wanafamilia na wafiwa wote kwa ujumla. Tunaungana pamoja katika kipindi hiki cha majonzi.
Rip Kamanda Mahundi
Rip Kamanda Mahundi
!!?!@??Poleni jamani, tujaribu kuangalia na vizee vingine vilivyolala visije vikanyoosha moja kwa moja
Kwangu mimi ni msiba wa familia yangu. Furaha niliyoenda nayo kulala nayo imetoweka ninapounganika na wanafamilia kumwombea mzee mapumziko mema peponi. Niko katika shock. A sad day indeed.