The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,394
- 12,978
RIP Harun Mahundi
Kuna taarifa zimenifikia kuwa former IGP Harun G. Mahundi is no more,
Amefia nyumabani kwake tegeta, usingizini, ilijulikana baada ya kuona mzee hajaamka muda wake wa kawaida ndio dereva akaomba msaada wa polisi kuvunja mlango,
will come back with more shortly.
Pole Mzee Mwanakijiji and RIP KAMANDA!Kwangu mimi ni msiba wa familia yangu. Furaha niliyoenda nayo kulala nayo imetoweka ninapounganika na wanafamilia kumwombea mzee mapumziko mema peponi. Niko katika shock. A sad day indeed.
Kwangu mimi ni msiba wa familia yangu. Furaha niliyoenda nayo kulala nayo imetoweka ninapounganika na wanafamilia kumwombea mzee mapumziko mema peponi. Niko katika shock. A sad day indeed.
Pumzika mkwe wangu....japo ulikataa nisimuoe binti yako kwa vile nina madabwada ,lakini mwanga wa milele uangaziwe wewe mstaafu...Tutakutana paradiso......