Kuna taarifa zimenifikia kuwa former IGP Harun G. Mahundi is no more,
Amefia nyumbani kwake Tegeta, usingizini, ilijulikana baada ya kuona mzee hajaamka muda wake wa kawaida ndio dereva akaomba msaada wa polisi kuvunja mlango.
R.I.P mh Harun Mahundi, Ulikuwa na utumishi uliotukuka wakati ukiwa bado unalitumikia taifa, M/Mungu akulaze mahali pema peponi, nawapa pole sana wafiwa wawe na moyo wa subira, katika kipindi hiki kigumu. "Sote ni wa Mwenyezi Mungu na Hakika kwake tutarejea" Ameeeen.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.