Hivi alikuwa IGP kipindi cha Mzee Ruksa au,pamoja na yote RIP mzee wa kunyumbaR.I.P mh Harun Mahundi, Ulikuwa na utumishi uliotukuka wakati ukiwa bado unalitumikia taifa, M/Mungu akulaze mahali pema peponi, nawapa pole sana wafiwa wawe na moyo wa subira, katika kipindi hiki kigumu.
"Sote ni wa Mwenyezi Mungu na Hakika kwake tutarejea" Ameeeen.
R.I.P mh Harun Mahundi, Ulikuwa na utumishi uliotukuka wakati ukiwa bado unalitumikia taifa, M/Mungu akulaze mahali pema peponi, nawapa pole sana wafiwa wawe na moyo wa subira, katika kipindi hiki kigumu.
"Sote ni wa Mwenyezi Mungu na Hakika kwake tutarejea" Ameeeen.
Alijua wewe jambazi la mapenzi.Pumzika mkwe wangu....japo ulikataa nisimuoe binti yako kwa vile nina madabwada ,lakini mwanga wa milele uangaziwe wewe mstaafu...Tutakutana paradiso......
Kuna taarifa zimenifikia kuwa former IGP Harun G. Mahundi is no more,
Amefia nyumabani kwake tegeta, usingizini, ilijulikana baada ya kuona mzee hajaamka muda wake wa kawaida ndio dereva akaomba msaada wa polisi kuvunja mlango,
will come back with more shortly.