hapo kozi zote kasoro za sayansi..akasome kozi moja wapo kati ya hizi banking and finance,isurance and risk management taxtion, zote koz zipo ifm note usimpeleke private institution vingi sana ubabaishaji
-Fanya research kwa miaka mitatu hii Jeshi la Polisi linapenda kuchua watu wenye fani zipi, ukishazijua tafuta Chuo kizuri.[/QUOTE]
reseach miaka mitatau hilo jeshi lina msubiri yeye.
polesana kijana kwa matokeo hayo.
kwa upandewangu ningekushauri uangalie kile kitu au shughuli unayopenda kuifanya na uelekeze juhudi nanguvu zako ikiwemo kukisomea pale inapobidi, hakika utatoboa
DO WHAT U LOVE, THE MONEY WILL FOLLOW
Nimerudia mtihan na matokeo yangu yamekuwa c mabaya xana nikiwa nimepata C 4 na D 3 lkn kombi halijabalance history imegoma kuna D. Je naweza kujiunga na kidato cha tano shule ya private?? Msaada wenu tafadhal
Nimerudia mtihan na matokeo yangu yamekuwa c mabaya xana nikiwa nimepata C 4 na D 3 lkn kombi halijabalance history imegoma kuna D. Je naweza kujiunga na kidato cha tano shule ya private?? Msaada wenu tafadhal
Inahitajika mtahiniwa wa mtihani wa kidato cha sita awe na si chini ya C Tatu (3) kwenye cheti chake cha kidato cha nne
NB :Haijalishi ni C za somo gani kinachohtajika ni C Tatu tu.
Inahitajika mtahiniwa wa mtihani wa kidato cha sita awe na si chini ya C Tatu (3) kwenye cheti chake cha kidato cha nne
NB :Haijalishi ni C za somo gani kinachohtajika ni C Tatu tu.