Naishi Soko Matola mtaa wa Kanisa nyumba namba 4 imeandikwa A. J. Kakuyumi ni wakala wa vitabu. natafuta vijana wawili wakiume waliomaliza form 4 mwaka huu. kazi ni kutembeza/kuuza vitabu maeneo ya watu wengi. ukikizi vigezo nitafute PM. usisahau kusema mtaa unaoishi na kuweka mawasiliano.
Itiji One a.k.a Nondekumbe upo uswahilini hapo!. mi natoka kwa kina Mwasimba.
Kule kulikuwa na Mswanga, Santaiga, Brown, Assa na bendi ya Dada Sererina Punguza vituko. Nakumbuka zamani za kale Mwasimba alipandisha bendera mlimani na kutangaza kuwa Nonde ni Taifa huru na limejitenga kutoka Tanzania.kumbe upo uswahilini hapo!. mi natoka kwa kina Mwasimba.
zamani kulikuwa na ubabe sana, toka waamishe machinjioni kumepoa na hela hamna.Kule kulikuwa na Mswanga, Santaiga, Brown, Assa na bendi ya Dada Sererina Punguza vituko. Nakumbuka zamani za kale Mwasimba alipandisha bendera mlimani na kutangaza kuwa Nonde ni Taifa huru na limejitenga kutoka Tanzania.
FFU na wajeda wakamfuata, alikiona cha mtema kuni