Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,253
- 34,205
Nani kasema kuna package zinauzwa?Hizi issue za forex hazijakaa vizuri sana... Ila kinachoshangaza ni jinsi buying training package inavyokuwa pushed.. Inaonekana kama lengo ni kuuza package na siyo training yenyewe.. Kama ni training inatakiwa ijitegemee na isingekuwa na haya kuendelea kuchangia kila mwezi kiasi cha hela..
Kama sijakosea ni MLM ya training , lakini wanatumia bait ya forex kupata watu.
Nani kasema watu wanachanga pesa kila mwezi?