hii pair itatoa pesa mingi wiki hii.endelea ku hold mkuu,imeanza toa hela leo
Mkuu hizi picha zenu ndo zinaleta maswali.Wajumbe hawaelewiiii.Afu ni kama mnazirudia rudia hivi.Anyway I know fx is real but you guys are fishy.
hahahaha''Watu tunanunua magari na majumba kupitia forex, we unauliza maswali ya mirejeshe, we zubaa watu tunapiga pesa we umelala naona uende ukafuge kuku na mbuzi tu''. ALISIKIKA MDAU MMOJA WA FOREX AKIMJIBU JAMAA FULANI KWENYE NYUZI FULANI.
Tukutane kwa Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, jukwaa la michezo, mambo ya forex na mimi nangoja mrejesho.
Ni nani huyu?
Kumbuka kusoma tarehe hapo 14.11.2017
POVU RUKSA
Forex ni kweli ipo real ila inahitaji akili kubwa sana..understanding ya hali ya juu kinachotokea duniani..soros kasemaje leo..trump yupo Vietnam kazungumzia nn litakaloleta effets ya $ against other currencies!lazima uumize kichwa na on top of that economics iwe ipo kichwani..ni very complex play..sio ya kitoto..umegusa st kayumba halafu uingie kichwakichwa utaungua!Forex is really guys,and money is being made...huo ndo ukweli
Waambie mkuu watu wapo busy kusubiri call za mentor huo muda wa kuja kuleta mrejesho anaupata wapi?Hivi tunavyokesha na chart muda wa kupigizana kelele na watu humu tunapata wapi?
we subiri habari mpaka unakufa.mda wakuja kukupa fursa unapewa siku moja kwani unataka matangazo ya kila siku.Salaam Wadau,
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa mada mbalimbali zinazokuja humu JF hasa za biashara na uwekezaji na nyingine nimechukua hatua moja mbele na kwenda kuzitekeleza...matunda si haba,ukiwekeza muda,nguvu na mtaji kiasi ikiambatana na maombi ahh faida utaiona.
Hapa karibuni pametokea uwekezaji mpya wa FOREX ambao umejizolea mashabiki,watafiti na wanachama wengi sana hadi kupelekea ile thread ya Ontario kutapika jinsi replies zilivyokuwa nyingi.Chochote kizuri huja na maswali mengi hasa kama ni kipya kwenye soko la watumiaji.Mimi kama mfuatiliaji mzuri ningependa kujikita zaidi kwenye mirejesho iliyokuwa inakuja kwa wingi sana hapo mwanzoni na yote ikiwa ni yenye habari chanya na zikihubiri mafanikio na hata zikashawishi wengine kufikiria kuacha kazi zao na kujikita zaidi kwenye hii biashara mpya.
Napenda kuwauliza wale waliokuwa wanaleta mirejesho mbona hapa karibuni imekuwa michache na ni baada ya muda mrefu ??? Au ile nadharia ya kwamba hakuna mshindi wa siku zote na biashara yenye boom wakati wowote imeanza kupata uhalisia ??
Chonde chonde msinipovushe...900 tu inapendezaaa