Miki123
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 288
- 502
mimi sio mcheza kamari sir. Na ndio maana hii mnayoita hii kitu mnayofanya ni advanced form of betting. Lakini kama kamari hii inakulipa na kamali kwako ww haina tatizo basi sawa endelea kuchota pesa za fo.rex.Uko sahihi sana... Sasa kama wewe wajua upande papa wanaelekea, na kila cku unaona waonewa... Why don't you swim with the sharks?
Unasubiri movers wafanye yao, and you move with them!!!