AMLIGHT
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 1,140
- 824
Bata ukimchunguza sana, hutoweza kumla....Unajua mkuu, husemwa kuwa market makers wana trade against their customers - wew na mim. True ecn broker husemwa anapenda customers wake washinde Na hasa anaishi kwa commission. Ukipata zaid nayeye ndo hupata, zaidi.
Sasa MM anaenda kinyume na sisi halafu yeye ndo ana i control hiyo metatrader system. Unategemea nin?
Any way concept iko katika kumpiga MM kwenye game yake. Yaani, yeye ana kila kitu ila bado umpige. Ndo hivyo
Sijachunguza zaid maana niliona kama minimum deposit ya true ecn ni kubwa sana kwangu, so I left. Ukichunguza vya kutosha utawajua tu. Tembea tembea mitandaoni
Saa hizi najipanga upya kuhangaika na akina MM.
Wako wengi wanajifanya ni true ecn lakin hamna kitu. Ni feki tu
Cha muhimu ni kupata genuine MM ambaye ni properly regulated kwenye nchi za maana. Tafuta rekodi na skendo zake. Wenzetu wazungu wanabwabwaja sana wakipigwa. Itakusaidia
Kuna kesi imewahi kufunguliwa UK dhidi ya reputable MM mmoja. Na mara ingine utasikia hata OANDA anashutumiwa kwa wrong doings. Yaani ndo hivyo. Take care
Ndo linalotokea kwako...