Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Huyu jamaa Ontario ni bonge la game changer!!!
Na bonge la motivation speaker kiwango cha uzamivu,style ya uandishi wake utafikiri ana vinasaba vya Shabani Robert!!!!
Ndani ya muda mfupi kafanya yafuatayo
1.karudisha matumaini mapya ya vijana wa Tanzania hasa kutokana na hali ya sasa ya kibiashara na ajira
2.kaleta moyo wa kushirikiana miongoni mwa watanzania ambao ulikua umekufa
3.kasababisha watu kutumia muda na mitandao vizuri instead of ku check hoja za mange kimambi na tundu lisu bora nimcheck Andile mayisela analysis zake au nkasome astro Forex
4.kwa mara ya kwanza Tanzania Forex academy ya Jamaa itakua na application nyingi kuliko MD Muhas ukilinganisha saiv ndo kipindi cha Ku apply vyuo nahisi watu wanaweza kubadili maamuz
Ila ombi langu kwa serikali
1.i support vijana kama hawa (ontario Bavaria na the like)wanao badili maisha ya vijana wa kitanzania big time
2.serikali inge introduce kwenye mitaala ya vyuo somo la Forex kama communication skills au development studies ila inakua option ukipenda sawa usipopenda sawa
Hii ingesaidia vijana kupata mitaji ya kujiajir wakimaliza
........hebu nkamalizie astro Forex nkajiandae na safari kuelekea kaanani
Hope tutakutana darasani wiki ijayo nkiwa seat ya mbele kabisa ili projector ikicheza kidogo namsaidia mentor kuiweka sawa
Ontario count me in

Sent using Jamii Forums mobile app
yes,ni safi,tupige shule,astrofx nimekimaliza jana.sasa naanza cha nne,forex bible,hakuna kurudi nyuma hapa.
 
c98fb4dde18e84719879224b831bac33.jpg


Wakuu nimefanikiwa kufungua real account leo na FXCM naomba kuelimishwa namna ya kudeposit hela. TIA.
 
Kazi nzuri Complex.... big up! Pia baada ya Double bottom support pattern ungeweza kuongeza EMA indicator ukaangalia fast line na slow line zinavyo cross over... indicating trend reversal. Na pia ukapata good entry and exit points.
RSI naona kama haijakusaidia hapo kwa sababu umeseti 14 days, naona kama ungeweka 9 or 10 days ingekupa indication nzuri kwa M30 timeframe.

my humble opinion.
Watu mnajua vitu hadi nachanganyikiwa! Unaniruhusu niku-pm?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kuona kikwazo kilichopo mbele yetu kwa sasa ni banking services niliamua kuchimba kidogo ni jinsi gani tunaweza kuikwepa hii changamoto.

Kwa baadhi ya watu ambao washapitia vitabu na pia walioanza demo ama real account(congrats) mtakuwa mmeona kuna baadhi ya brokers (true ECN) Ambao wana accept bitcoins.

Kwa wenye uelewa/watumiaji wa bitcoin hii ni moja ya solution ambapo utaepukana na ABCs za mabenki yetu

Kwa wasioifaham Bitcoin & cryptocurrencies in general hamjachelewa yapo materials mengi tu ya kusoma na kuielewa...

Ntapost list of brokers ambao wana accept cryptocurrencies especially bitcoins

Kumbuka wapo verified agents wengi tu ambapo unaweza kuuza bitcoins zako kwa njia rahisi Sana kama Mpesa etc

Hapa pips tuu
....................



Sent using Jamii Forums mobile app
XM ni moja wapo. Sema niliona kama wanarecommend kuwa na account kwenye bitpay ambayo inasemekana kuwa app yake inasumbua!

Njia hii ni nzuri sana, unaweza nunua bitcoin kwa wakala akakutumia kwenye account yako (wallet) kisha kutoka kwenye wallet unaweza kutuma hela kwa broker wako, kuitoa... na kutoka kwenye wallet yako unaweza toa hela kupitia Bitpesa na kuipokea kwa njia ya kawaida ya mpesa! (Itakubidi ujiunge na Bitpesa pia ambapo bitpesa wanahitaji kitambulisho cha kura/taifa au hata leseni ya udreva tu)

Sent from my TECNO F5 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye hivi vitabu naona njia nzuri ni kuviblend viwili ama vitatu ili upate desired knowledge. Kwa mimi naona kitabu cha Astro Fx kama kinachanganya vile, siuoni ule mtiririko fulani hivi utakoukufanya uende with the book's flow (labda ni kwa vile wenyewe wana video clips during sessions which work hand to hand with books). Mfano wanakuja tu kwenye graph na kuanza kuichambua kwa kutumia Fibonacci tool huku hata hawajaeleza kinagaubaga ni kitu gani, inabidi uende mbele kama imeelezewa au urudi kwenye kitabu kingine utafute knowledge yake. Kwa sasa naona ni bora niende na vitatu, napiga Astro nikiona chenga nahamia Naked forex then namalizia na forex bible, naamin nitakua nimepata kitu hapo ndo naendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba pdf ya naked forex na forex bible kama unazo

Extend your hand in kindness and offer help to the most in need
 
XM ni moja wapo. Sema niliona kama wanarecommend kuwa na account kwenye bitpay ambayo inasemekana kuwa app yake inasumbua!

Njia hii ni nzuri sana, unaweza nunua bitcoin kwa wakala akakutumia kwenye account yako (wallet) kisha kutoka kwenye wallet unaweza kutuma hela kwa broker wako, kuitoa... na kutoka kwenye wallet yako unaweza toa hela kupitia Bitpesa na kuipokea kwa njia ya kawaida ya mpesa! (Itakubidi ujiunge na Bitpesa pia ambapo bitpesa wanahitaji kitambulisho cha kura/taifa au hata leseni ya udreva tu)

Sent from my TECNO F5 using JamiiForums mobile app
Unwz funguka zaidi mkuu,km umeniacha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu mnajua vitu hadi nachanganyikiwa! Unaniruhusu niku-pm?

Sent using Jamii Forums mobile app


Duuu....nimecheka kimoyomoyo...ila sijakucheka wewe mkuu ni kwamba kuna wakati hata mm nilikuwa nikiingia humu nakutana na vtu ambavyo kuna wakati nilikuwa najiona kama nipo sayari nyingine maana vtu vilivyokuwa vinaongelewa huku nilikuwa naona manyotanyota tu....ila nikajipa moyo kuwa kwani hv vtu vyote si vipo kwenye vitabu???acha nisome kwanza ....nikakomaa sana na vitabu...kwa sasa nikiingia huku hakuna kinachoongelewa nakiona kigeni kwangu..


Komaa mkuu soma vitabu vyote pendekezwa hakika hautachanganyikiwa tena...ukisoma naked forex....ukapiga astrofx na forex Bible hayo yote uliyoona unachanganyikiwa nayo utakuwa unaona ni vtu vya kawaida sana kwako..

Ningekushauri usome kwanza hvo vitabu kabla ya kutafuta msaada wa kuelekezwa hz mambo zaidi...huo ndo Ushauri wangu kwako mkuu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom