Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Ontario is back - back with good words

Wakuu na wahenga wote waliosadikika kusema Asiyejua maana, haambiwi maana ontario nimerudi baada ya kimya kirefu sana. Been busy lately, very busy - but there's no alternative to hardworking/hustling.

Naeza sema we are almost 80% completing. Nilisema tangu mwanzo - sijawahi kuanza kitu na kuishia kati kati, that's not Jeff (labda fotokopi yangu).

SOON tunaanza, kilichokua kinanichelewesha nimehandle almost 90%, kinachobakia ni vitu vidogo vidogo sana ambavyo havihitaji nguvu kubwa sana.

Mentors from SA ndio wapo stage ya mwisho kujinoa na safari... we are gonna make this real ili tuoneshe how far we can go bila kulilia msaada wa serikali - ili tufanikishe nahitaji msaada wenu, siwezi kufanya hii kitu mimi binafsi. Na msaada pekee ninaoutaka kutoka kweni ni Ushirikiano - muwe tayari kusoma, narudia kusoma, narudia tena kusoma.

Sijali umefika stage gani, lkn leo onwards, naomba mnisaidie kitu kimoja tu dear traders... anza page ya kwanza ya AstroFX, soma elewa, rudia tena na tena. Huo ndio msaada pekee utakaositiri heshima yangu. Trust me, nazungumza ninachokifahamu - kuna watu wengi wanatamani waone tunaanza batch ya kwanza afu batch ya kwanza waangukie pua, but kitu pekee kitakachotupa kiburi ni knowledge baasi. Darasani tutapeana mbinu tuuu.

Mentors wote wapo very very motivated kuja Bongo na kuandika historia. Tunataka tuandike historia, na tutaandika historia pamoja. Guys help me rewrite the history. Furaha yangu ni nyinyi kuweza kumaster trading skills na kutumia hizo skills kumove kutoka hatua 1 kwenda hatua nyingine.

We are in the most empowered generation, tuna bahati sana. Tumezaliwa katika kizazi ambacho kuna free flow of information via Internet thing. We are the most educated generation in human history. Wazee wetu kina Aboud Jumbe na Bibi Titi walihustle at their own exceptional level, kutuletea political and administrative freedom. But hatuwezi kufurahia matunda yao kama hatuna financial and economic freedom/independence. Let's get it now!!
.

All is done by the God's grace. Be blessed and keep believing that the first batch will be blessed too. So failure will revert to the bad wishers. May God forbid. Thanks for the update and congratulations for all that you have achieved.
 
Mkuu mimi ndiye yule muhenga wa miaka ya 90, niliyekaa na muhenga mwenzangu bwana Kinjekitile Ngwale, na tukaanzisha ule usemi maarufu ya kua Chaka la samba, halilali nguruwe., lkn kwakua hatukueleweka vzr baada ya muda mfupi wahenga tukakutana tena tukaja na ule usemi Choko mchokoe pweza, binaadamu hutomuweza. Muhenga mwenzangu akatangulia mbele za haki, akaniacha peke yangu nikaamua kuleta usemi mpya wa kihenga kua Mchamba ovyo mwishowe hujitia dole.
Kuwa mhenga raha sana.
utakuwa muhenga kweli..
 
Ontario is back - back with good words

Wakuu na wahenga wote waliosadikika kusema Asiyejua maana, haambiwi maana ontario nimerudi baada ya kimya kirefu sana. Been busy lately, very busy - but there's no alternative to hardworking/hustling.

Naeza sema we are almost 80% completing. Nilisema tangu mwanzo - sijawahi kuanza kitu na kuishia kati kati, that's not Jeff (labda fotokopi yangu).

SOON tunaanza, kilichokua kinanichelewesha nimehandle almost 90%, kinachobakia ni vitu vidogo vidogo sana ambavyo havihitaji nguvu kubwa sana.

Mentors from SA ndio wapo stage ya mwisho kujinoa na safari... we are gonna make this real ili tuoneshe how far we can go bila kulilia msaada wa serikali - ili tufanikishe nahitaji msaada wenu, siwezi kufanya hii kitu mimi binafsi. Na msaada pekee ninaoutaka kutoka kweni ni Ushirikiano - muwe tayari kusoma, narudia kusoma, narudia tena kusoma.

Sijali umefika stage gani, lkn leo onwards, naomba mnisaidie kitu kimoja tu dear traders... anza page ya kwanza ya AstroFX, soma elewa, rudia tena na tena. Huo ndio msaada pekee utakaositiri heshima yangu. Trust me, nazungumza ninachokifahamu - kuna watu wengi wanatamani waone tunaanza batch ya kwanza afu batch ya kwanza waangukie pua, but kitu pekee kitakachotupa kiburi ni knowledge baasi. Darasani tutapeana mbinu tuuu.

Mentors wote wapo very very motivated kuja Bongo na kuandika historia. Tunataka tuandike historia, na tutaandika historia pamoja. Guys help me rewrite the history. Furaha yangu ni nyinyi kuweza kumaster trading skills na kutumia hizo skills kumove kutoka hatua 1 kwenda hatua nyingine.

We are in the most empowered generation, tuna bahati sana. Tumezaliwa katika kizazi ambacho kuna free flow of information via Internet thing. We are the most educated generation in human history. Wazee wetu kina Aboud Jumbe na Bibi Titi walihustle at their own exceptional level, kutuletea political and administrative freedom. But hatuwezi kufurahia matunda yao kama hatuna financial and economic freedom/independence. Let's get it now!!

Soon tunaanza safari wahenga wenzangu. Let's trust the process and enjoy it's fruits. Till then let's keep studying. Nina vitabu zaidi ya 100 vya forex, nasoma kila ninapopata muda. Narudia na kurudia, coz knowledge is power... naweza kufilisika ama kufilisiwa mali, lkn hakuna mwanadamu atakayeweza kunifilisi knowledge, labda Mungu.

Guys tuliamshe dude. Tuendelee kusoma, in few days nitafungua uzi mpya for the final call.

salute!!

============================

Though situmii sana IG but I do use it mara kadhaa. Maybe kuna vitu ntaanza kushare huko as far as thing journey is concerned. Follow me at @sirjeff_dennis. Please, naomba usitume message, coz possibility ya kukujibu ni ndogo sana. I am so busy guys, siwezi kujibu kila kitu. Office ikianza kutaelezana kila kitu face-to-face.
Tuko pamoja mkuu hatutakuangusha
 
Sitaki nifanikiwe pekee yangu wakati tukifanikiwa wote kwa pa1 sipungukiwi na kitu, zaidi nitaongeza marafiki, ndugu na jamaa. The profits I make nataka tuimake pamoja, the losses I make nataka tuimake pamoja. Tuhakikishe haters wote wanajoin the journey bila kupenda

c57efe20691f63370eecd42e25360bec.jpg
Lunch for today is covered (screen shot cropped to cover some other info)
huwa nafuatilia screenshots za watu mbalimbali wanazotupia humu, ila ya ontario akipost huwa ni something else,ni wengi mnamake profits lakini ukiangalia hakuna uhalisia sababu
-- trades nyingi zinazopostiwa humu ni za pip 1 - 5 zinazoambatana na bonge moja la lot,
--ukiangalia chief ontario hapo katumia lot ya kawaida lakini pips ni 50+
hivyo basi nnapoona mtu amefungua position halafu akaclose after 2 pips najua hapa hakuna analysis aliyofanya zaidi ya kubuy/kusell kwa kuangalia trend,
sio mbaya as we are all still learning ila nataka kukumbusha tu we are not there yet, tujitahidi hata batch la 10 tuwepo, bado elimu inahitajika ya kutosha tu


NB:nimequote ili muangalie tena hii screenshot,najua wengi wetu tunaangalia profit tu,
binafsi screenshots zimenifunza mengi including kufungua multiple positions kwenye pair moja inayoenda in your favour, something you cant learn kwenye kitabu
 
huwa nafuatilia screenshots za watu mbalimbali wanazotupia humu, ila ya ontario akipost huwa ni something else,ni wengi mnamake profits lakini ukiangalia hakuna uhalisia sababu
-- trades nyingi zinazopostiwa humu ni za pip 1 - 5 zinazoambatana na bonge moja la lot,
--ukiangalia chief ontario hapo katumia lot ya kawaida lakini pips ni 50+
hivyo basi nnapoona mtu amefungua position halafu akaclose after 2 pips najua hapa hakuna analysis aliyofanya zaidi ya kubuy/kusell kwa kuangalia trend,
sio mbaya as we are all still learning ila nataka kukumbusha tu we are not there yet, tujitahidi hata batch la 10 tuwepo, bado elimu inahitajika ya kutosha tu


NB:nimequote ili muangalie tena hii screenshot,najua wengi wetu tunaangalia profit tu,
binafsi screenshots zimenifunza mengi including kufungua multiple positions kwenye pair moja inayoenda in your favour, something you cant learn kwenye kitabu
Mkuu wahenga wanasema TRADE FOR PIPs MONEY WILL COME. Hiyo kitu ndio nakomaa kujua jinsi ya kufanya setups.. Unless nimeweza hiyo hii biashara sitaiweza.

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wahenga wanasema TRADE FOR PIPs MONEY WILL COME. Hiyo kitu ndio nakomaa kujua jinsi ya kufanya setups.. Unless nimeweza hiyo hii biashara sitaiweza.

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Akyamungu wewe ni muhenga wa kiwango cha Kinjekitile Ngwale na kina Chief Mwami. Respect. Nahisi wewe ndiye ule mzee wa Kizulamimba kule Uvinza uliyesadikika kua ulisema Uji hajauonja, tayari ushamuunguza. ukiona trader anatumia lot ya 1 afu anafunga position na profit ya $4 jua huyo uji ushamuunguza.
Kula kipande cha screenshot hiyo muhenga.
cf59f00dda06c988269aa426b6d064e2.jpg
We trade for pips not money.
 
Akyamungu wewe ni muhenga wa kiwango cha Kinjekitile Ngwale na kina Chief Mwami. Respect. Nahisi wewe ndiye ule mzee wa Kizulamimba kule Uvinza uliyesadikika kua ulisema Uji hajauonja, tayari ushamuunguza. ukiona trader anatumia lot ya 1 afu anafunga position na profit ya $4 jua huyo uji ushamuunguza.
Kula kipande cha screenshot hiyo muhenga.
cf59f00dda06c988269aa426b6d064e2.jpg
We trade for pips not money.
Hujakosea kabisa chief yani naogopa uji wa moto mpk hapo ntakapojua kuunywa. Nadhani wewe ndio yule mhenga alosema TRADING FOR PIPs IS SEXY
 
Wabongo ni wabongo tu, Dah!!

Wakuu na wahenga... Don't get scammed please.

Mimi simkatazi mtu yoyote kufundisha Forex, mimi simkatazi mtu kutumia mentors mzr wa FX. Nawafahamu mentors wengi wa FX wa SA, coz SA ni kama my 2nd home. Lakini kamwe sifurahii mtu kutumia jina langu kwa nia yoyote hile.

Please don't get trapped guys, don't get scammed. Leo baada kutoa link to my IG (sirjeff_dennis)... dennis yenye double 'N'. Mara nakuta kuna muhenga tayari kashatumia huo upenyo uterezea ganda la ndizi. Wabongo wanapenda sana kitonga, penda sana slope. Tena hao wash3nzi wapo humu humu kwa hii thread, wananyapia nyapia na kutukana watu, kumbe ndio vibaka wenyewe. Shame!!

So guys, msipatikane na mjanja yoyote, hiyo si account yangu.
18c493f929de00fa208293e593eae5f6.jpg
This is not my account wazee... account yangu ni @sirjeff_dennis. Ina post za tangia 2015, sijamfollow mtu yoyote, pia my a/c is public.

Don't get scammed.
Duh wabongo nikiboko.. Ila huyu jamaa sio mgeni kwangu namuona maeneo flan flan anasubua sana watu akitaka kuwafundisha.. Lazima itakua ni yy..?
 
Mkuu mimi ndiye yule muhenga wa miaka ya 90, niliyekaa na muhenga mwenzangu bwana Kinjekitile Ngwale, na tukaanzisha ule usemi maarufu ya kua Chaka la samba, halilali nguruwe., lkn kwakua hatukueleweka vzr baada ya muda mfupi wahenga tukakutana tena tukaja na ule usemi Choko mchokoe pweza, binaadamu hutomuweza. Muhenga mwenzangu akatangulia mbele za haki, akaniacha peke yangu nikaamua kuleta usemi mpya wa kihenga kua Mchamba ovyo mwishowe hujitia dole.
Kuwa mhenga raha sana.
Mkuu kweli we Muhenga.. Sio kwa maneno hayo hakihenga.. Me namtafta yule muhenga aliesema "akufaae kwa dhiki ndie rafiki wa kweli''
 
Mkuu mimi ndiye yule muhenga wa miaka ya 90, niliyekaa na muhenga mwenzangu bwana Kinjekitile Ngwale, na tukaanzisha ule usemi maarufu ya kua Chaka la samba, halilali nguruwe., lkn kwakua hatukueleweka vzr baada ya muda mfupi wahenga tukakutana tena tukaja na ule usemi Choko mchokoe pweza, binaadamu hutomuweza. Muhenga mwenzangu akatangulia mbele za haki, akaniacha peke yangu nikaamua kuleta usemi mpya wa kihenga kua Mchamba ovyo mwishowe hujitia dole.
Kuwa mhenga raha sana.
Mkuu kweli we Muhenga.. Sio kwa maneno hayo hakihenga.. Me namtafta yule muhenga aliesema "akufaae kwa dhiki ndie rafiki wa kweli''
 
Mkuu mimi ndiye yule muhenga wa miaka ya 90, niliyekaa na muhenga mwenzangu bwana Kinjekitile Ngwale, na tukaanzisha ule usemi maarufu ya kua Chaka la samba, halilali nguruwe., lkn kwakua hatukueleweka vzr baada ya muda mfupi wahenga tukakutana tena tukaja na ule usemi Choko mchokoe pweza, binaadamu hutomuweza. Muhenga mwenzangu akatangulia mbele za haki, akaniacha peke yangu nikaamua kuleta usemi mpya wa kihenga kua Mchamba ovyo mwishowe hujitia dole.
Kuwa mhenga raha sana.
sawa muhenga
 
Ontario is back - back with good words

Wakuu na wahenga wote waliosadikika kusema Asiyejua maana, haambiwi maana ontario nimerudi baada ya kimya kirefu sana. Been busy lately, very busy - but there's no alternative to hardworking/hustling.

Naeza sema we are almost 80% completing. Nilisema tangu mwanzo - sijawahi kuanza kitu na kuishia kati kati, that's not Jeff (labda fotokopi yangu).

SOON tunaanza, kilichokua kinanichelewesha nimehandle almost 90%, kinachobakia ni vitu vidogo vidogo sana ambavyo havihitaji nguvu kubwa sana.

Mentors from SA ndio wapo stage ya mwisho kujinoa na safari... we are gonna make this real ili tuoneshe how far we can go bila kulilia msaada wa serikali - ili tufanikishe nahitaji msaada wenu, siwezi kufanya hii kitu mimi binafsi. Na msaada pekee ninaoutaka kutoka kweni ni Ushirikiano - muwe tayari kusoma, narudia kusoma, narudia tena kusoma.

Sijali umefika stage gani, lkn leo onwards, naomba mnisaidie kitu kimoja tu dear traders... anza page ya kwanza ya AstroFX, soma elewa, rudia tena na tena. Huo ndio msaada pekee utakaositiri heshima yangu. Trust me, nazungumza ninachokifahamu - kuna watu wengi wanatamani waone tunaanza batch ya kwanza afu batch ya kwanza waangukie pua, but kitu pekee kitakachotupa kiburi ni knowledge baasi. Darasani tutapeana mbinu tuuu.

Mentors wote wapo very very motivated kuja Bongo na kuandika historia. Tunataka tuandike historia, na tutaandika historia pamoja. Guys help me rewrite the history. Furaha yangu ni nyinyi kuweza kumaster trading skills na kutumia hizo skills kumove kutoka hatua 1 kwenda hatua nyingine.

We are in the most empowered generation, tuna bahati sana. Tumezaliwa katika kizazi ambacho kuna free flow of information via Internet thing. We are the most educated generation in human history. Wazee wetu kina Aboud Jumbe na Bibi Titi walihustle at their own exceptional level, kutuletea political and administrative freedom. But hatuwezi kufurahia matunda yao kama hatuna financial and economic freedom/independence. Let's get it now!!

Soon tunaanza safari wahenga wenzangu. Let's trust the process and enjoy it's fruits. Till then let's keep studying. Nina vitabu zaidi ya 100 vya forex, nasoma kila ninapopata muda. Narudia na kurudia, coz knowledge is power... naweza kufilisika ama kufilisiwa mali, lkn hakuna mwanadamu atakayeweza kunifilisi knowledge, labda Mungu.

Guys tuliamshe dude. Tuendelee kusoma, in few days nitafungua uzi mpya for the final call.

salute!!

============================

Though situmii sana IG but I do use it mara kadhaa. Maybe kuna vitu ntaanza kushare huko as far as thing journey is concerned. Follow me at @sirjeff_dennis. Please, naomba usitume message, coz possibility ya kukujibu ni ndogo sana. I am so busy guys, siwezi kujibu kila kitu. Office ikianza kutaelezana kila kitu face-to-face.
Asante kaka... kaz ya kusoma inaendelea.. na hatutakuangusha

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
 
Wabongo ni wabongo tu, Dah!!

Wakuu na wahenga... Don't get scammed please.

Mimi simkatazi mtu yoyote kufundisha Forex, mimi simkatazi mtu kutumia mentors mzr wa FX. Nawafahamu mentors wengi wa FX wa SA, coz SA ni kama my 2nd home. Lakini kamwe sifurahii mtu kutumia jina langu kwa nia yoyote hile.

Please don't get trapped guys, don't get scammed. Leo baada kutoa link to my IG (sirjeff_dennis)... dennis yenye double 'N'. Mara nakuta kuna muhenga tayari kashatumia huo upenyo uterezea ganda la ndizi. Wabongo wanapenda sana kitonga, penda sana slope. Tena hao wash3nzi wapo humu humu kwa hii thread, wananyapia nyapia na kutukana watu, kumbe ndio vibaka wenyewe. Shame!!

So guys, msipatikane na mjanja yoyote, hiyo si account yangu.
18c493f929de00fa208293e593eae5f6.jpg
This is not my account wazee... account yangu ni @sirjeff_dennis. Ina post za tangia 2015, sijamfollow mtu yoyote, pia my a/c is public.

Don't get scammed.
Wahenga hatari sana..





Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom