LWENYI
JF-Expert Member
- Jul 4, 2013
- 1,784
- 2,097
kiukweli Mimi huu Uzi nimeufatilia kwa umakini sana vitabu vyote nimedownload ila tatizo liko kwenye lugha, lugha jamani lugha!!!
Mkuu pole sana, kazana kusoma taratibu utaanza kuelewa usiwaze sana hela waza kwanza kuijua na kuipenda Forex yenyewe kwanza then utaenjoy baadae
Najua kuna terms nyingi mpya unakutana nazo jipe muda wa kuzielewa then jikite kwenye contents