Rashdind
Senior Member
- Jul 19, 2011
- 194
- 60
Why, kwanini. IN MAGU VOICE!yani una quote uzi woooote kwa maneno mawili ndio maana mnaibiwa mchanga
Why, kwanini. IN MAGU VOICE!yani una quote uzi woooote kwa maneno mawili ndio maana mnaibiwa mchanga
Ficha upumbavu wako mkuu..
Stop embarassing your parents who paid millions for your education, while you fail reasong something small like this..
Kweli ase maana hivi vitu vinataka utulie usome kuna website natumia nayo ni nzuri Learn Forex Trading With BabyPips.comKabla huja download hizo apps nini maana ya bullish na bearish??
What do we mean when we say go long and fo short??
Kama hujaweza kujibu bila ku google ungana nasi kwenye kusoma arifu!! Vitabu viko humu tayari!
Placing many deals may lead you lose big time.Mimi sio mtaalamu ndio kwanza nimeanza kusoma kitabu ila kwenye hili nina mawazo tofauti kidogo
Upo sahihi mkuu lkn Pairs zipo nyingi ukiacha major pairs kuna cross pairs hivyo unaweza kuwa na deals zaidi ya moja ya kukutengenezea $20 kila moja ambayo ukijumlisha unakuta una faida nzuri maana thamani ya currencies zina vary sana against each other.
Halafu pia pips huwa zina vary, unaweza kupata deal yenye pips kubwa ukatoboa
Okey lets assume natrade na pairkama hii...EUR/USDAcha ni practice nilicho soma, nitarekebishwa Kama nimeingia Chaka
Going long (buying pair) ni kununua pair yaani unauza currency iliyo na thamani ndogo (counter currency) na kununua iliyo na thamani kubwa (ambazo mostly ni USD, GBP, EUR) ili baadae thamani yake ikipanda uuze mfano USD/JYN unauza japanese Yen (JYN) ili ununue dola ya kimarekani (USD) uje kuuza baadae ikipanda
Getting short (selling pair) ni kuuza pair yaani unauza currency yenye thamani kubwa(base currency) na kununua currency yenye thamani ndogo kwenye mfano wa wa USD/JYN unauza USD kununua JYN ili JYN ikishuka zaidi utumie hiyohiyo JYN kununua USD Ila kwasababu itakuwa imeshuka thamani Ina maana utapata USD nyingi zaidi ya kile kiasi ulichonunulia JYN kabla JYN haijashuka
unaanzaje kuingia forex kwa mfanoSwali makini sana!
Boss si mbaya ukacheki YouTube videos, zitakutoa tongo tongo kwa kiasi kikubwa sana. Hata mimi binafsi zimenisaidia.
Lakini... kila trader ana strategy yake ya kutrade, sasa ukicheki sana YouTube unaeza ukajikuta unafika point unachanganywa, huyu anasema tumia fibonacci, mwindine anasema tumia lagging indicators, mwingine anasema tumia support and resistance. Sasa unakua huelewi which is which.
Forex unaeza kuanza na kiasi chochote, inaendana na ntu na ntu. Lakini kadri unavyokuwa na balance kubwa ndivyo unavyokua na wigo mpana wa kutrade. Kuna vitu nikiongea hapa hautaelewa viko technical kidogo. But mimi na recommend usiwe na less than $200.
Kuhusu muda wa kuvuna: Forex unavuna kadri unavyotrade winning trades. Unaeza ukaanza na $200 ndani ya wiki 1 (siku 5) una profit ya $500. Na muda wowote unaweza ukawithdraw, unaweza leo ukatrade ukapiga profits $50 na ukaichomoa yote ukafanya mambo yako mengine.
Placing many deals may lead you lose big time.
Iko hivi
Mfano umeweka $1000 labda unanunua USD 1.423 na kuuza 1.430 hapa broker wako anaweza kukukopesha kwa ratio ya 100:1.
Maana yake sasa unatrade kwa $100,000 na so $1000.
Kumbuka fedha tofauti zina pip movement tofauti. Kwa mfano $10,000 ni $1 (pip).
Sasa kwa mfano deal imeenda vizuri inamaana utapata 10 * 10 au $100
Kumbuka pip ni namba ya mwisho ya currency
Huu ni upande mmoja tu
Upande wa pili ukipoteza labda tuseme value imedondoka toka $1.423 hadi $1.413 inamaana umepoteza $10.
10* $10 ni sawa na $100 ambayo ni loss.
Lakini pia kumbuka trader anakutoza commission na unatakiwa kufidia losses.
Pia it's very unlikely to have consistent wins.
Na ujue tu kuplace deal yenye dau dogo ni hasara in a long run.
Do you have enough dough to put in Forex?
Kwahiyo angalizo langu jifunze pia upande wa loss na uone hatari iliyopo.
I hope this reaches you in good spirit.
Okey lets assume natrade na pairkama hii...EUR/USD
Going long: nitanunua euro ikiwa chini na kuiuza soon ikipanda bei!! Hapa nakua naamini kwamba base currency yangu in this case euro itapanda thamani!! Kwa lugha ingine tunasema euro is bullish!!
Like wise, going short ni kwamba
Nakua naamini at some point euro kama base currency yangu itashuka thaman...sasa mimi kama bearish trader nitauza euro ikiwa thaman ya juu na kuinunua tena ikishuka thamani!!
Sijui kama nimeingia chaka ila thats what i understood!!
ONTARIO Bavaria mwongozo tafadhali!!
Unaona sasa duuh!! Embu ngoja nifungue kitabu tena!Hapo kwenye short nahisi umekosea
EUR/USD ukienda short kwenye hii pair Ina maana una Amini kuwa USD ambayo no counter currency itazidi kushuka dhidi ya Euro kwahiyo unauza euro ili ununue USD then USD ikizidi kushuka utauza hizo USD ununue euro kwa value ya mwisho ya pair yako
Mfano EUR/USD imeshuka kutoka 1.2345 mpaka 1.2335 Ina maana ukiwa na 10,000 euro wakati value ya pair ni 1.2345 utapata USD 12345 sasa value ya pair ikishuka mpaka 1.2335 ina maana ukiamua kuuza USD zako 12345 Ina maana utapata euro 10,008 (12345/1.2335) kwahiyo unakuwa na faida ya euro 8 kutoka kwenye euro 10,000 ulizokuwa nazo awali
Kifupi going short ni pale unapo nunua counter currencies maana nyingi huwa zinashuka thamani most of the times sababu zinakuwa ni weak currencies
I stand to be corrected
Unaona sasa duuh!! Embu ngoja nifungue kitabu tena!
It is unfortunate that being optimistic won't make things easier for you.Nashukuru mkuu kwa kupoint the risky side of it, nadhani hata mkuu Ontario pia kasema wazi kuwa risk zipo na akatoa ushuhuda wa kupoteza zaidi ya $10,000.
In the end kila kitu kina risk and most of us we are in the age of taking risks, as long as it's possible to start small let people try huwezi jua mbeleni mtu anaweza kupiga hela ndefu kwenye mishe zake nyingine huku ana uzoefu wa FX akaingiza huko.
Usipo chafuka utajifunzaje? Wahenga walisema