Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Kuna siku niliulizwa kwenye interview! Kuwa mkweli unatafuta kazi ama pesa nikajibu natafuta kazi ambayo itanipatia pesa za kuendeleza maisha ...blabla kibao inshalla nilipata ile nafasi baada ya muda nikaiacha.

Ukweli watu wengi eakiangalia taarifa ya habari ikifika muda wa masoko sijui DSE nini na nini huwa hawaelewi hivyo kubadili channel.

Kuna mambo mengi ni fursa lakini watu wengi hatuyajui pengine ni ya kizamani but kwetu ni mapya hahaahaa.

Ukijua siri ya kutoa mfano fungu la kumi ama zaka ama ramazab utajua siri ya kupata.
Mkuu toa darasa huru watu tuzidi kuitambua dunia na mambo yake
 
*Naomba niwe kati ya hao kwenye Offer*

Kuna mwalimu wetu mmoja hivi wa CPA alikuja kutudokeza hii issue akatupromise atatuletea mtaalamu aje kutupa knowldge lakini hakufanikiwa niliumia sana. Lakini naona bahati imekuja mara nyingine tena na sitoichezea tupo bega kwa bega.
 
Thread nzur mkuu but we need a training kama ulivyosema hapo mwanzon kipind niko chuo a was interested na somo moja linaitwa International Finance lilinipa mwanga sana kuhusu Forex but am very ready for the training bro.
 
safi kabisa, vipi kuhusu forex brokers wanaoanzia $1-$5/$300 zaweza kuwa ni nzuri kwa beginners ili kuzoea hii biashara? Au wewe wasemaje mkuu ONTARIO? [HASHTAG]#nalendwa[/HASHTAG] njoo ujisomee hii kitu.
 
Sisomagi thread ndefu labda za Bold...lkn hii nimeisoma.. Shukrani mkuu hili swala sitaliachia hapa umenipa hasira sana za mafanikio
Nikionaga vijana wadogo matajiria South Africa au Nigeria nadhani sio bure ni kujiongeza kama huku. Bongotumelala sana it's our time
 
Kwa mwanzo kabisa hao watu watatusamehe kwakweli, lkn naamini with time tunaweza kutrain mentors ambao watatoa special classes kwa hiyo group. Haishindikaniki boss.
Mkuu naomba nifuate nyayo zako ulizopitia japo wanasema maisha hayana formula kwa hiyo usiangalie ya jirani yako...

Namaanisha utoe hivyo vitabu ulivyopewa kuvipitia kabla hujapewa somo lenyewe ili na sisi tupitie ili tukija kuanza darasa letu iwe ni kutiririka tu kwenda kwenye peak.
 
Hivi wote tukikimbilia kufanya biashara ya Forex atanunua nani? Isitoshe sijaona nadharia ya kufanya biashara hii hapa kwetu Tz penye uchumi dhaifu usiokuwa na transactions nying za pesa za kigeni. S. Africa wana maviwanda (I doubt if they're not neuclear power) hivyo na mzunguko wake ni babu kubwa. Pale OR Tambo International airport kuna ndege zirukazo na kutua every passing minute from big cities all over the world. Huku kwetu angalia hata London kwenyewe huwezi kwenda moja kwa moja lazima uunganishe sehemu nyingine, hiyo biashara ya forex waachie wajukuu zenu, nyie kwanza fikirieni kulima chakula cha kuwatosha, tuwe na umeme wa uhakika, maji matibabu nk.
 
Im in!
training zikianza na threads pls naomba niwe tagged!
AHSANTE SANA!
nataka kuijua hii na kuifanya as well!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom