Ah, basi deci na forex ni tofauti...Ukisetiwa na watu wenye akili za kupiga hela za wasiojitambua kirahisirahisi tena kihasarahasara tu. Walidanganywa unapanda hela ( kama upandavyo mazao shambani) kisha unavuna mipesa minono kila zinapokuwa zimeiva, wakawakusanya weeeee wakajaa ndiii, wakawapandisha mipesa kisha wakala kona shaaaaaaa. Hakuna urahisi kwenye suala la kutafuta na kupata hela
Kwenye kupiga hela kila mmoja ana mbinu zake, msisahau kuleta mrejeshoAh, basi deci na forex ni tofauti...
Jana usiku, kabla ya market kufungwa...Kwenye kupiga hela kila mmoja ana mbinu zake, msisahau kuleta mrejesho
Wapo wanaopoteza pesa, it's true... Kuna mtu namfahamu aliunguza akaunt ya 7M in a week...Kwenye kupiga hela kila mmoja ana mbinu zake, msisahau kuleta mrejesho
Mkuu ulishawahi tengeneza faida kwenye hii kituWapo wanaopoteza pesa, it's true... Kuna mtu namfahamu aliunguza akaunt ya 7M in a week...
Bahati nzuri, wote wanaopoteza pesa, huwa WANAJUA ni nini walikifanya mpaka wakapoteza pesa...
Binafsi, nimeunguza akaunt 4 mpka sasa, na NAJUA ni kwa nini... In the long run, this thing will be profitable, trust me...
Yes.Mkuu ulishawahi tengeneza faida kwenye hii kitu
Safi mkuu mimi nafanya study ya hii kituYes.
Gud.. Demo ni muhimu... Then unaweza trade cent kabla ya kwenda standard account...Safi mkuu mimi nafanya study ya hii kitu
sasa hivi naparactice demo account
kutoka kwa broker paperstone wa Autralia
japo kuna vitu sivielewi ....lkn nataka
nianze na dola 3000 nikifungua real account