Forever Living and GNLD Products Business

Forever Living and GNLD Products Business

ushauri wa bure kwa hii kampuni, wabadilishe jina la biashara yao,

Kusema Forever living wakati wanajua NI HAKIKA siku moja mtu atakufa sio sahihi.

basi wangeita extend your life labda ingenoga
 
Kuna mtu amenishawish niingie kwenye hii kampun kufanya biasharaa ya networking.msaada kwa yeyote naejua faida na hasara zake nisije nikakurupuka tu ikala kwangu
 
Kuna mtu amenishawish niingie kwenye hii kampun kufanya biasharaa ya networking.msaada kwa yeyote naejua faida na hasara zake nisije nikakurupuka tu ikala kwangu


HONGERA BIASHARA YA NETWORKING NI NZURI SANA ILA NAKUSHAURI UINGIE TIENS/TIANSHI, km uko dar headoffice ipo msasani primary school, or vist www.tiens.com, www.aftiens.com, kama unahitaji biashara hii ya networking. faida zake ni nyingi ikiwemo kupata elimu ya kiafya na ujasiriamali, faida nyingine ni kuwa mtaji wako kwa TIENS ni usd 20/= kwa forever living ni usd 100/=
hasara zake ni kwamba kama huna mdomo wa kuelimisha watu kuhusu tiba mbadala itakushinda, kam huna mda wa kutosha wa kuzunguka sehemu mbalimbali kutafuta rasilimali watu itakushinda. ie more people(working group) more money(income)
maelezo zaidi kuhusu tiens/tiansi call: 0755569494
 
Duh! hawa jamaa ni noma. GNLD walinijia miaka ya 2008; lakini wote waliokuwa wananishawishi niingie hawaendelei na hiyo business, kwa mfano huo tu mimi binafsi siwezi kujiingiza katika company za namna hii,

Wanaofanikiwa ni wachache, wanaopigwa chali ni wengi kupita kiasi. Ila kwa kesi ya kutumia kwa ajili ya afya nimeona wengi waliokuwa hospital tena kubwa (Bugando) wakaanza kutumia hizo products - kwa sasa wana afya nzuri na wamepona. Ukifata ushauri wao kwa ajili ya afya yako ni sawa lakini businesswise nina wasiwasi.
Bora kufuga kuku wa kienyeji!
 
Hivi ni vitu gani wanajamvi? Vina tofauti na DECI? Vinatofauti na zile stori za 'alikuwa kipofu sasa anaona; alikuwa kiwete sasa anatembea'?

kindly update.

"Effective people are not problem minded, they are opportunity minded, they feed opportunities and starve problems." stephen covey
 
"Effective people are not problem minded, they are opportunity minded, they feed opportunities and starve problems." stephen covey

mkuu nimesoma kitabu kama milionar mind.think and grow rich, poor dady rich dady, the busines of 21st centruy, vimenispire sana yaan kama wa2 wote tungevisoma tungejielewa i like ur post mkuu make money or excuse
 
Nimefanya biashara hizi ninaloweza kusema kuna wengine wanafanikiwa na wengine wakiingia hawafanikiwi hizi ni kama biashara zingine kuna bidhaa kuna shule ya ujasiriamali, afya na kuna mbinu za kutafuta masoko utazijua kutoka kwenye mafunzo yao. Bidhaa hizi nimezitumia za GNLD na Forever living ni nzuri na zinasaidia katika kupambana na matatizo mbali mbali ya kiafya. Ukitaka uhondo wa ngoma uingie ucheze. Ukitaka ushauri zaidi tuwasiliane 0755394701

acha kuwakoroga watu wewe kizuri chajiuza waambie wagogle waandike the best network company TIENS haipo hata kwenye topten kampun nilizoziona forever ni ya saba kuna makampun ya magari yanaongoza but gnld tiens hata kwenye 50 hayapo kwa hyo ondoa bango lako
 
ucjarb ndg yng, utajuta kujiingza, product ni ghal waTZ walio weng hawafk bei, mi nna product za tka 4reva iingie Tz. Ni mauzauza achana nayo, utapoteza pesa na mda.

mimi by profesonal ni acountant na ni benk teller wa crdb kibaha na pamoja na kubanwa nafanya part time kwenye haya makapun ya nertwork forever na yananilipa vzuri na nina mpango wa kuacha kaz hvyo ckuelew unaongea nini na kwa humu humu nimepata wateja wa hz product kama wa lak na 50 kama auhamini uliza au anzisha thread wangap humu jamvini wamenunua bidhaa za forever kama watu hawajafunguka na uwaulize wamepata faida gani baada ya kutumia?
 
Ýñòîíèÿ , ÿ åñòü Ìèðîíîâ Îëåã Ìèõàéëîâè÷ (Ìîñêâè÷ 1959 ã.ð.) ðåàëüíîå âûñåðîê, âûáëÿäîê è îáû÷íûé ×Ì0øíèê 🙂))ëèöèìåðèå ÿíâàðü 2007 Ýäóàðä ..Îëåã Ìèðîíîâ èçâåñòíûé ïèçäîáîë! Âîëîäàð!Æèçíü Áåðåçîâñêèé áóäóùåå Ñå÷èí Ëè÷íîå Êàêðàêè Ðîñíåôòü ó÷èòåëÿ æèçíü Îïïîçèöèÿ Èëëåø áóäóùåå Àáðîìîâè÷ ìîðå Ìåäâåäåâ , áåñïðåäåë gunvor Âëàäèâîñòîê äîáðîòà 🙂 Ìèíèñòð îáîðîíû âûáîðû ñ 15.07.2003ã. – 04.06.2005ã. – ñîâåòíèê ãåíåðàëüíîãî äèðåêòîðà ÎÎÎ «ÆÀÑÎ-Ïîëèñ». âûáîðû !!! ïëþñ ê ýòîìó ÿ Ìèðîíîâ Î.Ì. 1959ãð ðåàëüíîå Xyéëî è ôóôëûæíèê !!!
 
ni biashara nzuri ila ngumu sana tena sana kwa mazingira yetu ya kitanzania............
wakikueleza unachotakiwa kufanya na faida zake inakua inatia moyo ila kufikia malengo ndio shughuli pevu!!!!!
Kuna watu nawafahamu mmoja alibahatika akafanya kazi na kufikia malengo na sasa analipwa vizuri na posho nyingi tu..
Ila kuna wengine walioshindwa njiani yaani hoi na wameamua kuachilia mbali..... ila kama unajijua una muda wa kutosha, network ya uhakika na ya kudumu, si mtu wa kukata tamaa + mtaji jaribu

Hivi hyo biashara unaingia bila gharama yoyote? na Je hizo hela zinamfikia mtu katika mfumo gani???
 
BabaDesi,

What happens ni kwamba mwenye timu kwa kupitia timu members wake anaweza kugenerate cheki moja au mbili za $10,000 lakini vitu ambavyo huwa wanaficha ni:

1. Expenses (unakuta mtu anaingiza $10,000 kwa gharama ya $8,000)
2. Is it recurring income? (unakuta mtu analamba $10,000 mwezi huu, lakini mwezi ujao chali ... labda kafanikiwa kuuza $3,000 tu lakini hasemi hilo)

Kuna njemba ya FLP ilikuwa inanisalandia nijiunge na scheme yao nikamdrill akanipa Bank Statement yake (maana alikuwa anatamba kuwa anamake $6,000 kwa mwezi ... na kuwaambia wadau wake kwamba mshahara wake ni zaidi ya waziri)

Kucheki kumbe operations costs ziko juu pia, na inamwachia margin ya 25% to 30% hivi.

Kwa yeyote anayejiuliza MLM ni nini ... ufupi ni kwamba kwenye MLM ni utaratibu wa kuuza bidhaa mkono-kwa-mkono. Badala ya kuingia gharama kujenga liofisi likubwa, kuajiri sales team na kulipia matangazo una-recruit watu wanakufanyia marketing na sales.

MLM ni njia mojawapo kupanua biashara yako duniani kote hata kama huna mtaji mkubwa. By the way ili kumfaidisha mwanzilishi mfano wa FLP aliyeko Arizona kuna mark-up kubwa kwenye bei za bidhaa zao hapa nchini.

Mfano Aloe Vera made-in-Tanzania toka kiwanda cha Kilimanjaro bei yake ni chini ya nusu ya bei ya Aleo Vera toka Marekani ya FLP.

Wadau wa FLP watakushawishi kwamba Aloe-Vera yao ni bora zaidi ... but you know what? Mungu alitengeneza aloe vera zote sawa. Zingine ni porojo tu.

Gharama za ziada ndio malipo ya hao wadau wa FLP. Hakuna zaidi. Same goes for all other MLM products.

NENO LA ZIADA KUHUSU QUESTNET

Jihadharini na QuestNet. Wanapromoti kiglasi kinaitwa "bio disc". Glass hii ni kiini macho tu haina value yoyote inayoshabihiana na bei ya $500 hadi $600 wanayouza.

Nimeichunguza glasi yenyewe, nikakaa nayo kwa muda wa wiki moja kwenye friji kama wanavyopendekeza na hakuna chochote ilichobadilisha.

Ni glasi ilinayotengenezwa nchini Ujerumani kwa kutumia material yale yale wanayotengenezea glass za madirisha. Sema QuestNet wameongeza porojo nyingi sana kuhusu huto tuglass eti kwamba ina nguvu za ziada (+ve energy) za kuimarisha chakula na mwili wako.

Gharama ya kutengeneza unit moja ni $10 mpaka $15. Lakini wao ili waweze kukuibieni vizuri wanauza $500 mpaka $600. Cha juu hapo kati ndio chakula cha wazee wa upline.

Nimekutana na watu sita mpaka sasa ambao wametapeliwa na QuestNet na hawana cha kufanya maana walikubali kununua wenyewe kwa hiyari yao.

Inasikitisha sana. Ndio maana wahenga walisema ikiwa unaona elimu ni ghali basi jaribu ujinga.

Hahahaha....waenga wanasema nn?
 
HONGERA BIASHARA YA NETWORKING NI NZURI SANA ILA NAKUSHAURI UINGIE TIENS/TIANSHI, km uko dar headoffice ipo msasani primary school, or vist www.tiens.com, www.aftiens.com, kama unahitaji biashara hii ya networking. faida zake ni nyingi ikiwemo kupata elimu ya kiafya na ujasiriamali, faida nyingine ni kuwa mtaji wako kwa TIENS ni usd 20/= kwa forever living ni usd 100/=
hasara zake ni kwamba kama huna mdomo wa kuelimisha watu kuhusu tiba mbadala itakushinda, kam huna mda wa kutosha wa kuzunguka sehemu mbalimbali kutafuta rasilimali watu itakushinda. ie more people(working group) more money(income)
maelezo zaidi kuhusu tiens/tiansi call: 0755569494
Mkuu unaendeleaje na biashara!?
 
Back
Top Bottom