Forever Living and GNLD Products Business

Forever Living and GNLD Products Business

as far as am concerned 97% of people see things in negative way 2.9 are neutral and 0.1 are positive.... ushauri wangu learn about network marketing then picture your self remember nm ina tabia ya first in first benefit kama waliofanya wameweza na wewe wa weza ukiamua..
 
Mkuu Mwangaza,hiyo biashara ilikuwa zamani kwa walio wahi,Maamuma ameleza vizuri sana ila kwa sasa ukitaka kujiunga itakuwa pasua kichwa,kwanza unatakiwa uwe na kipaji chakuongea,kuweza kumwelimisha mtu mpaka akuelewe anunue hizo product ambazo ni expensive na aweze join kuwa mwanachama.....
 
Wadau, naomba mwenye uzoefu/ufahamu wa hii biashara ya kuuza madawa ya mimea ya alovera maarufu kama forever living kama kweli inalipa au la! maana mwenzenu nimefuatwa na baadhi ya watu kunishawish niingie humo lkn sijapata taarifa za kutosha zaidi ya kupigiwa debe kuingi kuingia tu. Naomba mwenye ufahamu anipie dalasa kidogo nisije ingia kichwa kichwa nikajuta. ahsanteni.

biashara ya mtandao ndio biashara muafaka kwa karne hii haijarishi kampuni. watu wengi wanapenda maisha mazuri bt hawataki kufanya kazi wanatafuta visababu vya ugumu.haya mambo usiulizie kwa walioshindwa maisha jifungue kichwa.jiamini fungua (check out the biz.com na qlsafrica.com) hapo utajua kila kitu.
 
Inalipa kama utaweza kuuza hizo bidhaa zao kwa wingi na uwaingize watu wengine wawe wanachama. The more the wanachamas the greater the reward (wenyewe wanaita points). Ukiwa na points nyingi ndo unalipwa vizuri. Nakwambia ni kazi ngumu. Kwanza bidhaa zao zina bei kubwa kiasi kwamba si rahisi kwa mtz wa kawaida kumudu kununua mara kwa mara, kwa hiyo utakuwa na kazi nzito ya kupiga debe na kuuza. Labda kama una marafiki wenye pesa na uelewa mzuri wa bidhaa hizo (of course, depending on how you convince them). Pili kupata wanachama wapya si kazi ndogo. Kama ambavyo wewe unasita kuingia kichwa kichwa ndivyo ambavyo nawe utakumbana nao hao potential members. Kwa ujumla: It's not as easy as it sounds.
Sijui kama nimeeleweka. Wenye ufafanuzi zaidi watakumwagia hapa.

Mkuu umemaliza siongezi neno.
 
Sounds like ponzi scheme.. i personally won't throw my $$ in such monkey business.
 
ucjarb ndg yng, utajuta kujiingza, product ni ghal waTZ walio weng hawafk bei, mi nna product za tka 4reva iingie Tz. Ni mauzauza achana nayo, utapoteza pesa na mda.
 
Naamini wengi mliochangia nawafahamu., Either tumekutana kwenye Meetings za kupeana moyo, or in some hotels and restaurants hapa Dar, Arusha n.k


Oh CHAMPIONS.............Holly G.

It a mess
 
ndugu yangu achana na hizi kazi za piramid zitakupotezea muda wako mwingi sana na kama utaanza hizi biashara kuna baadhi ya marafiki zako utawapoteza hasa walio na uelewa mpana. unajua mwenye hii kampuni yaani anayedhalisha hizi bidhaa hafanyi advertisement hivyo hivyo hilo pengo linajazwa na ninyi munaouza . so unatumia muda mwingi kuwashauri watu watumie hizo bidhaa na kwa bahati mbaya bei ya bidhaa hizo ziko juu watanzania wengi hawamudu.

isitoshe watu wengi wamesikia kuhusu habari za forever na zimewachosha so mkuu utapoteza marafiki wengi coz utakuwa kero
 
Ma great thinker bila shaka mpo aware na hii Biashara ya Forever Living Products. Kuna mtu ananishawishi nijiunge na mtandao wake kwenye hii biashara ila ningependa nisikie maoni kutoka kwa magreat thinker, kuna mtu yoyote ana idea na hii kitu na anaionaje? Inalipa kweli au changa la macho tu. Msaada wenu wakuu.
 
ni biashara nzuri ila ngumu sana tena sana kwa mazingira yetu ya kitanzania............
wakikueleza unachotakiwa kufanya na faida zake inakua inatia moyo ila kufikia malengo ndio shughuli pevu!!!!!
Kuna watu nawafahamu mmoja alibahatika akafanya kazi na kufikia malengo na sasa analipwa vizuri na posho nyingi tu..
Ila kuna wengine walioshindwa njiani yaani hoi na wameamua kuachilia mbali..... ila kama unajijua una muda wa kutosha, network ya uhakika na ya kudumu, si mtu wa kukata tamaa + mtaji jaribu
 
ni nzuei ila kama alivosema mama d, ni ngumu maana products zao ni gharama sana.
Si unajua wabongo tunavyopenda bei chee!!!!!!!
BE A RISK TAKER KAMA WW NI MJASILIAMALI.

mapenzi yangu
 
Nashukuru sana Mama D kwa mchango wako. Kwa jinsi walivyonielezea unaweza ukawa conviced, lakini hofu yangu ni gharama ya hizo products na uelewa wa watu kwenye hizo products, muda ninao kiasi, network hapa ndo kuna tatizo ila mtaji sio tatizo. Asante mama D.
 
Nimefanya biashara hizi ninaloweza kusema kuna wengine wanafanikiwa na wengine wakiingia hawafanikiwi hizi ni kama biashara zingine kuna bidhaa kuna shule ya ujasiriamali, afya na kuna mbinu za kutafuta masoko utazijua kutoka kwenye mafunzo yao. Bidhaa hizi nimezitumia za GNLD na Forever living ni nzuri na zinasaidia katika kupambana na matatizo mbali mbali ya kiafya. Ukitaka uhondo wa ngoma uingie ucheze. Ukitaka ushauri zaidi tuwasiliane 0755394701
 
ucjarb ndg yng, utajuta kujiingza, product ni ghal waTZ walio weng hawafk bei, mi nna product za tka 4reva iingie Tz. Ni mauzauza achana nayo, utapoteza pesa na mda.
swtldy hazijaexpire tu?
 
Hivi nchi yetu inazichukuliaje hizi biashara za aina hii maana kuna nchi zingine ni iilegal kama inavyoonyesha hapa chini:
Pyramid schemes are illegal in many countries including Albania, Australia[SUP][3][/SUP], Brazil, Bulgaria, Canada, China[SUP][4][/SUP],Colombia[SUP][5][/SUP], Denmark, the Dominican Republic[SUP][6][/SUP], Estonia[SUP][7][/SUP], France, Germany, Hungary, Iceland, Iran[SUP][8][/SUP], Italy[SUP][9][/SUP],Japan[SUP][10][/SUP], Mexico, Nepal, The Netherlands[SUP][11][/SUP], New Zealand[SUP][12][/SUP], Norway[SUP][13][/SUP], the Philippines[SUP][14][/SUP], Poland, Portugal,Romania[SUP][15][/SUP], South Africa[SUP][16][/SUP], Spain, Sri Lanka[SUP][17][/SUP], Switzerland, Taiwan, Thailand[SUP][18][/SUP], Turkey[SUP][19][/SUP], the United Kingdom, and the United States[SUP][20][/SUP].

Je hawa wahusika wamesajiliwa na BRELA? na wana TIN Number kutoka TRA? Au ni biashara tu ambayo ni free hapa kwetu as long as tunaambiwa ni Globolization, mara sijui Free Trade i don't know lakini sipati picha halisi. Wataalamu hebu tujuzeni bila kuchoka.
 
Wadau,juzi nilienda kwenye semina ya kampuni flani ya ujasiriamali iitwayo FOREVER LIVING..co siri,semina yao ilinivutia nikashawishika kujiunga..tatizo kuna rafiki yangu nilimfata anipe ushauri akanambia nisijiingize huko,biashara hy cyo,yeye alishawah kutaka kuingia ila alikatazwa na member ambae anaefanya kazi hyhy,kuwa hy biashara sio..sasa wadau embu nishaurini,hii inshu ni kwel au?kuna m2 yeyote humu JF anaemjua mtu aliefanikiwa kutokana na biashara hii?naomba kuwasilisha
 
Ili uweze kuishi milele inabidi kwanza ufe, je dogo uko tayari ku dead mapema uache mipochopocho yote hiii ya dunia kabla hujafaidi vizuri na kujitakasa?
 
Back
Top Bottom