excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
Nawe shangaa eti ananijua mababa paroko wa cku hz hatari sana.
achana nae bana, bora uje kwetu tu.. alaaaa!!!
Nawe shangaa eti ananijua mababa paroko wa cku hz hatari sana.
achana nae bana, bora uje kwetu tu.. alaaaa!!!
Eiyer tafadhali...Excel unaitwa huku!!!!!!!!!!
Eiyer tafadhali...
huu ni udhalilishaji mkuu if its not a joke... iam not in such the way you are thinking,..
ina maana hayo yoote yaliyotajwa na mdau mimi ndio najifanya ninayo ama? ina maana mimi ni yahaya ama vipi?
mkuu tafadhali, wewe ni paroko, you must respect your position.. aisee nimekereka ujue... umenikera sana eiyer!!
Ila humu jf ni kiboko hakuna anaye kubali kuji shusha
Ukitaka wenye ma vx wako humu..
Ukitaka wenye choppa wako humu....
Ukitaka wanao miliki kampuni wako humu...
Ukitaka wanao miliki mashimo migodini wako humu...
Ebu ona kama huyu..
"faster nimefungua kampuni yangu
"namiliki range rover na vigari vingine kadhaa.
"nimemaliza kujenga nyumba yangu ya ghorofa goba
Eiyer unaweza sema mimi nilishasema nina nini kati ya hivyo hapo juu??
please mkuu tell me that it was a joke.. otherwise tutakosana na tutaangaliana mbalimbali sana!
mkuu for sure umenichafua roho... i have been like this in jf..
Ila humu jf ni kiboko hakuna anaye kubali kuji shusha
Ukitaka wenye ma vx wako humu..
Ukitaka wenye choppa wako humu....
Ukitaka wanao miliki kampuni wako humu...
Ukitaka wanao miliki mashimo migodini wako humu...
Ebu ona kama huyu..
"faster nimefungua kampuni yangu
"namiliki range rover na vigari vingine kadhaa.
"nimemaliza kujenga nyumba yangu ya ghorofa goba
Si kwa sababu umemuweka kwenye chupa hajitambuiUnadhani akija nani atashuulikiwa kama siyo wewe. Nyamaza kwa salama yako
hahaha amini hisia zako kaa mbali nae kwa salama yako....mi nievutiwa na mkaka mmoja humu ila nahs jambazi
Nyie mnaoguna namna hii dawa yenu ni viboko tu!
Itakusaidia hasa sasa hivi unapotafuta mchumba.Baba paroko umeongea vyema. Umdhaniae ndie kumbe sie. Ahsante kwa kutukumbusha
Itakusaidia hasa sasa hivi unapotafuta mchumba.
Baba paroko kula like mia 800,,,
kwa atakae vutiwa na mm kazi anayo maana akili zangu zimekaa ki bange bangi mpka najishangaa mwenyewe.
Na tulokua hatuna hata baiskeli pia tupo
ila baba paroko huyo atanipeperushia mchumba, hebu ona na mfano aliotoa.
Wewe ukisema hivyo mi nitasemaje mwayegooo?Baba paroko kula like mia 800,,,
kwa atakae vutiwa na mm kazi anayo maana akili zangu zimekaa ki bange bangi mpka najishangaa mwenyewe.
Kwanini nisiweze jamani!
Wewe ukisema hivyo mi nitasemaje mwayegooo?