Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,175
- 34,410
Ila hata wewe ni kiboko ile mitusi yako tu!!
Ipi hiyo?
Ila hata wewe ni kiboko ile mitusi yako tu!!
Ipi hiyo?
Nikuonjeshe asubuhi asubuhi?Umeisahau?
Ile ***** zako..
Ipo mingi mingi tu.
Nilisha ishuhudia kutoka kwako!
Eiyer tafadhali...
huu ni udhalilishaji mkuu if its not a joke... iam not in such the way you are thinking,..
ina maana hayo yoote yaliyotajwa na mdau mimi ndio najifanya ninayo ama? ina maana mimi ni yahaya ama vipi?
mkuu tafadhali, wewe ni paroko, you must respect your position.. aisee nimekereka ujue... umenikera sana eiyer!!
Ila humu jf ni kiboko hakuna anaye kubali kuji shusha
Ukitaka wenye ma vx wako humu..
Ukitaka wenye choppa wako humu....
Ukitaka wanao miliki kampuni wako humu...
Ukitaka wanao miliki mashimo migodini wako humu...
Ebu ona kama huyu..
"faster nimefungua kampuni yangu
"namiliki range rover na vigari vingine kadhaa.
"nimemaliza kujenga nyumba yangu ya ghorofa goba
Eiyer unaweza sema mimi nilishasema nina nini kati ya hivyo hapo juu??
please mkuu tell me that it was a joke.. otherwise tutakosana na tutaangaliana mbalimbali sana!
mkuu for sure umenichafua roho... i have never been like this in jf..
Nikuonjeshe asubuhi asubuhi?
Wewe acha hizo usije ukaniharibia siku..!
Sawa. Nilijua umeikumbuka umemisi but poa. Siku njema.
Hahahahahag ila haina shida haja tuharibia tutaendelea tu kama kawaida usitie shaka!
Naona majibu yako yamebadilika baada ya kusoma hii sredi
unanijibu mkato tu, baba paroko kishanifanyia dili yangu kuwa dirisha
Umeandika kichaga?
Wengine hatujui hizi lugha!
Me nataka demu fulani hivi mapepe ambae haja tulia!!
Ila asiwe mchunaji angalizo!!
hivi unajua mimi nimevutiwa na wewe....?hahahahahahaha baba paroko utavunja mbavu zangu
gogo kuludi juu majanga
lakini mimi naweza kulala popote