For those who fall in love with someone here

For those who fall in love with someone here

Nashukuru kwa kusikia

Kama unavutiwa na mimi fuata ushauri wangu na utakuwa salama mrembo!

Asante, nimeshaufata ushauri
Ila umesema ukweli watu tunajenga picha kichwani tofauti na muhusika alivyo
 
Kuna MTU humu mi nimemzimikia ila duh!! Wacha tu ipo siku ntamlipukia PM! Ntakachokutana nacho sitamlaumu MTU.
 
Nilikushauri uibadili ukakana shauri yako

Lakini kuwa makini nasikiaga eti kuna mabazazi humu


Au si tuanze mimi na wewe.........?????lol!!!!!!!!!!!

hahahahahahah weye tena useme unausafiri gani kunisuprise na guta not acceptable
 
Asante, nimeshaufata ushauri
Ila umesema ukweli watu tunajenga picha kichwani tofauti na muhusika alivyo

Safi sana mkuu

Sasa anza kuwa makini kabisaaaa ili kuepusha mi siredi isiyohiyajika MMU!
 
Kuna MTU humu mi nimemzimikia ila duh!! Wacha tu ipo siku ntamlipukia PM! Ntakachokutana nacho sitamlaumu MTU.

Nimejikuta nacheka sana
Asante sana mkuu kwa kunifurahisha jioni hii!
 
Unapenda kindege cha kuja kukuanzishia thread hapa kuwa !tian ana uso sijui kama anapuliza moto au sijui miguu kama mshumaa???........lol!!!!!!!!!!!!!!!

Mkuu Eiyer utafikiri umeniona live,

Daah yani kwa kweli nisijepotezewa mood humu bureee
 
mrushie mchele!!

Nlishaanza kikirushie mchele karibia kukinasa sasa Eiyer amekitorosha!!

Ngoja ntafute njia mbadala ya kukinasa aseeh,

Maana kikisoma ni thiredii kwisha habari yangu!!
 
Mkuu Eiyer utafikiri umeniona live,

Daah yani kwa kweli nisijepotezewa mood humu bureee

But i like ladies with that type ....lol!!!!!!!
 
Nlishaanza kikirushie mchele karibia kukinasa sasa Eiyer amekitorosha!!

Ngoja ntafute njia mbadala ya kukinasa aseeh,

Maana kikisoma ni thiredii kwisha habari yangu!!

Lol!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
hahahahahaha sasa baba paroko mi navaaga mchuchumio kama wa lady gaga unataka kunipigisha ruti za miguu tena

Kama kutembea tu umeshindwa utaweza kulala kwenye ngozi ya ng'ombe kweli au tunadanganyana?
 
Back
Top Bottom