For those who fall in love with someone here

For those who fall in love with someone here

Hilo jagi chafu na lina ukoko wa mafuta. Tatizo lako jagi la maji huwa unanywea supu ya makongoro na uji wa ulezi.

utapata kiriba tumbo!

Siku hizi nimeacha kula makongoro
Si uliniambia utanichukia nikiwa na kitambi?
 
Ila humu jf ni kiboko hakuna anaye kubali kuji shusha
Ukitaka wenye ma vx wako humu..
Ukitaka wenye choppa wako humu....
Ukitaka wanao miliki kampuni wako humu...
Ukitaka wanao miliki mashimo migodini wako humu...
Ebu ona kama huyu..
"faster nimefungua kampuni yangu
"namiliki range rover na vigari vingine kadhaa.
"nimemaliza kujenga nyumba yangu ya ghorofa goba
 
Ila humu jf ni kiboko hakuna anaye kubali kuji shusha
Ukitaka wenye ma vx wako humu..
Ukitaka wenye choppa wako humu....
Ukitaka wanao miliki kampuni wako humu...
Ukitaka wanao miliki mashimo migodini wako humu...
Ebu ona kama huyu..
"faster nimefungua kampuni yangu
"namiliki range rover na vigari vingine kadhaa.
"nimemaliza kujenga nyumba yangu ya ghorofa goba
Excel unaitwa huku!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Mapenzi yaanziayo humu kizungumkuti mtupu!

Mmekutana kwa majina feki ndani ya msitu msitegemee la maana sana, japo kuna mapekee ya hapa na pale.

We waweza kudhani huyo uliyempata ndo wako pekee kumbe huko kwenye maPM ni wa wengi.

Waweza dhani (unajua) kuwa ana anatumia jina moja kumbe wapi, hola!

Ana mijina lukuki na kila jina lina bebi na la'aziz wake.

Sisemi hakuna wakweli lakini kujua kama ni wakweli ndo kazi.

Kuna wengine wanamajina ya ukweli....lakini ulichosema kina ukweli ndani yake kama mtu kaanza na ufeki kila kitu kitakua feki.
 
mi nievutiwa na mkaka mmoja humu ila nahs jambazi

images
 
Kuna wengine wanamajina ya ukweli....lakini ulichosema kina ukweli ndani yake kama mtu kaanza na ufeki kila kitu kitakua feki.
felinda mi nakujua ......lol!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom