Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Expect the unexpected
Namwita uuur.......mbona unaniziba mdomo
Excel unaitwa huku!!!!!!!!!!Ila humu jf ni kiboko hakuna anaye kubali kuji shusha
Ukitaka wenye ma vx wako humu..
Ukitaka wenye choppa wako humu....
Ukitaka wanao miliki kampuni wako humu...
Ukitaka wanao miliki mashimo migodini wako humu...
Ebu ona kama huyu..
"faster nimefungua kampuni yangu
"namiliki range rover na vigari vingine kadhaa.
"nimemaliza kujenga nyumba yangu ya ghorofa goba
Mapenzi yaanziayo humu kizungumkuti mtupu!
Mmekutana kwa majina feki ndani ya msitu msitegemee la maana sana, japo kuna mapekee ya hapa na pale.
We waweza kudhani huyo uliyempata ndo wako pekee kumbe huko kwenye maPM ni wa wengi.
Waweza dhani (unajua) kuwa ana anatumia jina moja kumbe wapi, hola!
Ana mijina lukuki na kila jina lina bebi na la'aziz wake.
Sisemi hakuna wakweli lakini kujua kama ni wakweli ndo kazi.
Si ndo hapo tujibanie kwa nini...!!
Ila mke ninae mwazia mie sijui kama utaweza?
Unajua ki agape ni nini?
Sasa huku ni kutishana!
Huwezi ukawa unanijua baba paroko...
huyo ndo mwenye ivyo vyote?
huyu paroko huyu... mmh!