Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Huo ndo ukweli wangu kama una ukweli mwingne ruksa kusema
Mbona kamoyo kanakudunda sasa
Huo ndo ukweli wangu kama una ukweli mwingne ruksa kusema
Wewe sema mbona unaogopa? moyo kudunda ni utaratibu wake usipodunda damu itashindwa kusambaa mwiliniMbona kamoyo kanakudunda sasa
wacha wee!! Hongera!! Usisite kutupa mrejesho!!
Hahaaa,tena si ajabu mke mwenyewe nikawa mie
Huu ushauri unaonesha huyu ni mwanamke aliyekua kiakili na kimwili pia
Asante sana
I heti yuuuuu
Halafu tangu asubuhi naku DIPU ukaninunulie juisi mbona hupigi?
Pole sana mkuu!!!!
And you know meHahaha, nasoma personality yako. Nangojea mvua ya maneno kutoka kwako lol.
Mbona najaribu kuitoa na haotoki?ninekutumia hela kwenye mpesa ili ukanunue juisi na karanga uzipendazo mwenyewe.
Bora sanaaaaaaaaSio bora zaidi?
Hivi unajua ninavyokupenda?Count your blessings utagundua huna haha ya stress mdogo wangu.
Yaani wewe dada yangu mpenzi sana umebarikiwa kuliko binadamu wote wenye maumbile kama yakoUmeshabarikiwa kuliko an average person.
Aisee dada taratibu maana unaweza kuniua na haya maupendo .........Kwanza kuwa na kaka mdogo ambae Ni paroko kwangu Ni baraka tosha hata nikilala njaa sitojali.
Yaani nakupenda hadi nahisi nakuchukia ....lol!!!!!!!!you love me, you just can't differentiate the two.
Hivi nikiamua kukulavu sasa hivi utafanyaje?