For those who fall in love with someone here

For those who fall in love with someone here

Hahahahaha sasa si mpaka watu wakwambieee , mbona wewe unajifagilia mwenyewe tutaaminije weka picha.

Stay blessed.

Madam nitake radhi tasavaliiiiiiiiiiiiii

Nimejifagilia wapi banaaaaaaaa???????

Mi nimetoa mfano tu


Stay blessed too Madam!
 
Lakini ndio maana Mutabuzzi et al wakaanzisha white party ya Dar wing na get together party ili watu wapate kukutana kiu halisia na kuweza kuwa na maamzi sahihi!
 
Hongera, Unamawzo mazur sana! ila jifunze summarization...
mambo machache nasoma mpaka najisahau...
 
Madam nitake radhi tasavaliiiiiiiiiiiiii

Nimejifagilia wapi banaaaaaaaa???????

Mi nimetoa mfano tu


Stay blessed too Madam!
Hahahahahaah haya mkuu wewe ni mpole usijali. Tunataka kufanya maandamo kwa waanzilishi wa jeiefu kupinga watu wanaotumia majina fake na wanaotumia picha fake nafikiri hii itasaidia ili kama mtu hataki kuweka uhalisia wake basi watuachie jukwaa letu tulio wakweli. Piga vita bidhaa fake kwa nguvu zako zote.
 
Hahahahahaah haya mkuu wewe ni mpole usijali. Tunataka kufanya maandamo kwa waanzilishi wa jeiefu kupinga watu wanaotumia majina fake na wanaotumia picha fake nafikiri hii itasaidia ili kama mtu hataki kuweka uhalisia wake basi watuachie jukwaa letu tulio wakweli. Piga vita bidhaa fake kwa nguvu zako zote.

Sasa si wao wenyewe wanashauri eti usiweke jina lako halisi au picha yako halisi?

Mimi sio mpole ila niko kawaida tu!
 
Hongera, Unamawzo mazur sana! ila jifunze summarization...
mambo machache nasoma mpaka najisahau...

Kama unajisahau hilo si tatizo lako wewe?
Unasemaje tena nijifunze?
 
Hahahahahahahaha hakianane wazazi walizaa!!! Lol
Me nimevutia na avatar yako tinna cute halafu wenye akili kama zako nawezana nao!!

Na walizaa si unaona nilivyo cute frm the avatar mpk really look......
We jichananye uone unaijua ligi ya serial A ilivyo ngumu!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom